Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Ligi imenoga wapendwa, Azam yuko pointi mbili nyuma ya vinara, Simba, wakiwa na michezo sawa.
Yanga Afrika yuko nafasi ya tatu, akiwa na pointi 31, moja nyuma ya Azam, lakini akiwa na faida ya mchezo mmoja zaidi.
Well done Azam FC!
FIFA.com - Tanzania: - League table
Yanga Afrika yuko nafasi ya tatu, akiwa na pointi 31, moja nyuma ya Azam, lakini akiwa na faida ya mchezo mmoja zaidi.
Well done Azam FC!
FIFA.com - Tanzania: - League table