Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,414
- 119,233
Kwao huko lazima atakuwa star labda huku ndio hatumjui. Ni kama vile Wema Sepenga huku kwetu star ila hapo Malawi tu watu hawamjuiSiyo star bado, anasafiria nyota ya mume wake. Na ana force recognition ili kuongeza viewers kwenye kazi zake, ndiyo maana ya kuja na hizo controversial comments.
So far amewin, maana amekuwa kwenye mjadala sana mpaka JF imetufikia.