ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,280
- 3,180
Japo wote ni wezi Ila Fuatilia namna hawa wakandarasi wanavyolipwa. Utagundua kuwa adhabu kubwa wanatakiwa wapewe wenye mradi. Mkandarasi amewasaidia tu watendaji kuiba. Unaweza kuta alipewa maelekezo alete certificate ya milion mia mengine awaachie wao, ukikataa malipo yako yanachukua mda kulipwa au unaanza tishiwa kukataa liquidationSasa wote hao ni wezi na wanashughulikiwa kwa pamoja all in all mkandarasi ni mshitakiwa nambari moja. Sasa unasemaje wakandarasi kama hao wanaonewa?