chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,735
Kiukweli uviko 19 au corona ilitikisa dunia na kufikia kupoteza watu wengi.
Kipindi cha mwendazake kutuambia mungu kaondoa uviko 19 baada ya kuomba mimi kwangu nililipa asilimia 2%.
Uviko 19 nchi zilizokumbwa ulivua nguo sekta za afya nyingi tena hizi za serikali.
Kuna mda mwengine tulikubari kudanganya au kudanganywa ili kupunguza ukweli kwenye sekta ya afya.
Hakuna sekta ya afya tena kwa nchi zetu hizi maskini ikapokea kwa mkupuo wagonjwa wa kupelekwa ICU 300 kwa wakati mmoja.
Hakuna sekta ya afya itakayoweza kuwa na vifaa kwa wakati mmoja kama vya kupumulia.
Lazima ingeleta simanzi na hasira kwa kila mtu anayetaka kumpambania ndugu yake au mtu wa karibu.
Huduma za afya zisingeweza kumudu idadi kubwa kama ingekuwa wazi na ndio maana ilikuwa siri kueleza takwimu ya wagonjwa.
Leo nimeona kueleza ili baada ya wenzetu wakirumbana kuhusu sekta za afya zilivoshindwa japo kuwa na mauwezo kuliko sisi.
Kipindi cha mwendazake kutuambia mungu kaondoa uviko 19 baada ya kuomba mimi kwangu nililipa asilimia 2%.
Uviko 19 nchi zilizokumbwa ulivua nguo sekta za afya nyingi tena hizi za serikali.
Kuna mda mwengine tulikubari kudanganya au kudanganywa ili kupunguza ukweli kwenye sekta ya afya.
Hakuna sekta ya afya tena kwa nchi zetu hizi maskini ikapokea kwa mkupuo wagonjwa wa kupelekwa ICU 300 kwa wakati mmoja.
Hakuna sekta ya afya itakayoweza kuwa na vifaa kwa wakati mmoja kama vya kupumulia.
Lazima ingeleta simanzi na hasira kwa kila mtu anayetaka kumpambania ndugu yake au mtu wa karibu.
Huduma za afya zisingeweza kumudu idadi kubwa kama ingekuwa wazi na ndio maana ilikuwa siri kueleza takwimu ya wagonjwa.
Leo nimeona kueleza ili baada ya wenzetu wakirumbana kuhusu sekta za afya zilivoshindwa japo kuwa na mauwezo kuliko sisi.