Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
afadhali mbowe angegombea kidogo ana uwezo wa kujieleza..lakini kumweka slaa hana sera hawezi kujieleza zaidi ya lipua lipua ....hii kali kabisa, only in tanzania
Tunataka solutions sio kusema watu....
Na hiii inaonesha wazi ...chadema ni chama cha kikabila cha wachaga ndio maana sijui huyu msomali , huyu mhindi, huyu zito ni mmanyema hatufai , sijui huyu wangwe hatufai, huyu mwarabu , huyu muislam hatufai ....
Sidhani sera hizi za kibaguzi zina mweleka mzuri kwa tanzania..na kwa hilo....inabidi muanze tena...mwaka huu tayari mmekosea.....ubaguzi wowote hauna nafasi katika nchi......