mara nyingine huwa nadhani huyu jamaa ni imposter hau ndie mkulima mwenyewe rudisha mkuu. Yule jamaa ana endana na kauli zako.Naona kuupgrade avatar yangu kumewakwaza wengine kidogo; wapo wanapenda niendelee na ile ya jembe la mkulima (black and white) na wengine wanapenda hii mpya ya mkwaju (ya rangi). Sasa sijui wapiga kura mnasema niendelee na hii mpya watu wataizoea au nirudie ile ya zamani ambayo kama mmoja alivyosema ni "brand image"..
jamani mwanakijiji una shamba la bangi?hii mbaya haina mvuto
Wakulima wa mahindi pamoja na magumu yote ya shambani, huwa wanaonyesha kujijali kidogo. Hii inaonekana kama mtu kajizira hivi, ndio maana wadau wazo la kwanza wanalolipata ni mtuamiaji wa kuleeeeeeeee.......kwa marehemu bob. Kwa nadharia ya kijijini kupata ushauri ni upendo wa wanakijiji wenzako kwako.karibu watu wote wanayoiangalia hiyo picha (ya kweli) huwaza bangi kwanza.. tangu nilipoiweka mara ya kwanza 2006 watu walikuwa wananiuliza nasokota nini.. jamani shamba la mahindi hilo..
karibu watu wote wanayoiangalia hiyo picha (ya kweli) huwaza bangi kwanza.. tangu nilipoiweka mara ya kwanza 2006 watu walikuwa wananiuliza nasokota nini.. jamani shamba la mahindi hilo..
Mimi mwenyewe nilimuuliza anadai ni shamba la mahindi tu!jamani mwanakijiji una shamba la bangi?hii mbaya haina mvuto