Avatar ipi mnaipenda?

Ni Avatar gani Mwanakijiji aitumie?

  • Napenda ya mzee mwenye Jembe (ya zamani)

    Votes: 52 59.1%
  • Napenda ya mzee mwenye mkwaju (mpya)

    Votes: 35 39.8%
  • Asitumie Avatar yoyote

    Votes: 1 1.1%

  • Total voters
    88
Wote nyinyi mnasema kwa ajili ya mazoea tu ila kama mkizoea mtaanza kuimba mwimbo wake, kweli tumezoea ile ya zamani ila hii sasa ni nzuri sana, Ila badala ya stick beba jembe babu yangu
 
Ila angalia hata mawazo yako yasije kuwa na illussion mzee wangu tutakusuta, tutakuuliza na tutakwambia, baki na kuwa conservative kwa kila wazo na usimame pale pale
 
Mkuu MM
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu....kwa kweli mimi ndio kwanza leo nakuwa aware kuhusu avatar yako. Ninakuwa so much absorbed into reading your great masterpieces kiasi kwamba ku-take note of anything else (incl avatar) naona nitakuwa distracted. So, mkuu wangu wee mwaga hizo nyanga zako maridhawa tu - with or without avatar, old or new.....kudos!
 
Jaribu kujichunguza, na kujipima labda toa hiyo stick na weka jembe lako begani na pia tokea uanze harakati zako tumefanikiwa sana katika kuwafanya watu kuwa aware kuwa hilo hongera sana
 
Tena inabidi ujieleze vizuri imekuwaje ubadiri avatar yako ghafla bin vuu... nasisi tushaizoea ile ya zamani... Hii ni kukiuka haki za wasomaji wa article zako... mimi nina wasiwasi usha uzwa kwa mafisadi. Hii haikubariki kabisa...!
 
Tena inabidi ujieleze vizuri imekuwaje ubadiri avatar yako ghafla bin vuu... nasisi tushaizoea ile ya zamani... Hii ni kukiuka haki za wasomaji wa article zako... mimi nina wasiwasi usha uzwa kwa mafisadi. Hii haikubariki kabisa...!
Kazi unayo Babu yangu na pia jaribu kuwaeleza tu kwangu mimi sijaona kitu chochote kila ila hofu yangu wasije kukubaka mpaka mawazo yako na msimamo wako
 
Ile ya zamani ndo bomba, inaonyesha kweli mzee mwanakijiji, hii ya sasa ni kama vile mzee wa mjini!
 
Teh teh teh Mkuu ile ya zamani kweli yaonesha umkulima kweli na ni mwanakijiji mjasiliamali kweli na mzalendo, Hii mpya sio mbaya ila imeonyesha ulienda USA na ukarudi umewaka mbaya sasa unaonekana mzee wa mjini fulani hivi na huko kijijini wataanza kukushangaaa MKJJ imekuwaje tena siku hizi umeacha jembe na wachunga ng'ombe??

Au ni kiboko cha kuwachapa wasio sikiliza la mkuu??
 
Naona kuupgrade avatar yangu kumewakwaza wengine kidogo; wapo wanapenda niendelee na ile ya jembe la mkulima (black and white) na wengine wanapenda hii mpya ya mkwaju (ya rangi). Sasa sijui wapiga kura mnasema niendelee na hii mpya watu wataizoea au nirudie ile ya zamani ambayo kama mmoja alivyosema ni "brand image"..

Mzee M.M waungwana wanauliza eti kwani sura yako ipi kati ya hizi mbili (ya zambai na ya sasa?) na ipi ilifaa kuwepo kwanza, ile uliyochoka na kanzu au hii ya sasa ambayo yaonyesha japo umezeeke na kustaafu lakini maisha bado "tambalale" na una sura ya kuasihirai wewe ni Mwanakijiji bali ni mzee wa mjini unayeishi kwa kutegemea pango la nyumba zako?...
 
Hapa umevaa kofia upara hauonekani,Of-course hapa umepiga picha kipindi cha summer(joto) hamna kulima, kujirusha kwa sana, naona sikioni hapo sijui ni culture au


Hapa kipara kinaonekana, umevaa nguzo nzito na una jembe , inaonyesha ni kipindi cha kulima, na ninaona kwa mbaaali vijimiti.

zote poa tu, kwa sababu ni mtu mmoja katika mazingira tofauti.

wasidhanie kuwa wewe ni kulima tu mwaka mzima! waonyeshe na wewe unaweza ku-relax kwa fedha ulizopata kuuzia mazao.
 
Kiongozi...Mimi nakuomba uirudisehe ile ya zamani tu(sababu nitakwambia baadaye)
 
Ile ya kwanza ilikuwakilisha vyema na ikazoeleka sana miongoni mwetu hapa JF, mimi nilipoona hii mpya sikutambua hadi niliposoma jina tofauti na ile ya kwanza ilikuwa ukiiona tu unajua Mwanakijiji huyo.,pamoja na yote una uhuru wa kubabilisha muonekano wako lakini kwakuwa umetuuliza sisi utumie ipi basi na mimi naungana na wengi kuomba urudishe ile ya awali.
 
Ya ZAMANI inaendana na Busara zinazooneka kwenye mada zako mbali mbali. tafadhali rudisha AVATAR ya zamani

huu ni ukweli. Huyu wa sasa anaonekana straight from bush japo msafi. Tatizo hashabihiani na hoja unazotoa. Kama vipi boresha ya awali atazame mbele. Rangi si hoja. I told you, your reputation is at stake
 
Ila angalia hata mawazo yako yasije kuwa na illussion mzee wangu tutakusuta, tutakuuliza na tutakwambia, baki na kuwa conservative kwa kila wazo na usimame pale pale

here again. Kama vipi, omba wahusika uwe na id 2 ili kudumisha heshima ya mwanakijiji. We need some icons in here ila si lazima tukuambie. Invisible alirudisha yake, la sivyo angeonekana dogo tu
 
Naipenda ya Zamani!

Inawakilisha uanakijiji halisia na inabeba dhima nzima ya msimamo wako hasa hoja zako!
Inatukumbusha sehemu kubwa ya watanzania wenzetu ambao ni masikini sana wakiendelea kulitumia jembe la mkono katika karne hii ya sayansi na teknolojia kama nyenzo muhimu ya kuendesha maisha yao!
Expression ya Mzee hapo inamwonyesha akifikiri; akitafakari na pia inawakilisha hekima aliyonayo amabyo kwa kweli nimekuwa nikikutana nayo ninaposoma karibu kila kitu nilichowahi kukutana nacho amabcho unakiandika tangu enzi zile za Young_african forum!
Imekuwa trademark nzuri; ushafikiria kui patent?

Hii mpya zaidi ya huo mkwaju sivutiwi hata na expression nayoiona usoni kwa huyu mzee kwani nashindwa kupamabanua sana naona ni kama mtu aliyekata tamaa asiye na suluhisho wenye matatizo yanayomzunguka!
 
Naona kuupgrade avatar yangu kumewakwaza wengine kidogo; wapo wanapenda niendelee na ile ya jembe la mkulima (black and white) na wengine wanapenda hii mpya ya mkwaju (ya rangi). Sasa sijui wapiga kura mnasema niendelee na hii mpya watu wataizoea au nirudie ile ya zamani ambayo kama mmoja alivyosema ni "brand image"..


Haya maswali ya barabarani unayaweka humu jamani unatufundisha nini??? hembu ondo a hii thread yako ok au kwasababu una hisa nyingi no maana unaandika u......zi.
 
Naona kuupgrade avatar yangu kumewakwaza wengine kidogo; wapo wanapenda niendelee na ile ya jembe la mkulima (black and white) na wengine wanapenda hii mpya ya mkwaju (ya rangi). Sasa sijui wapiga kura mnasema niendelee na hii mpya watu wataizoea au nirudie ile ya zamani ambayo kama mmoja alivyosema ni "brand image"..


Ondoa hii bana maswali yako ya barabarani.
 
Back
Top Bottom