Mkubwa Jalala
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 112
- 23
Kuna dereva mmoja liwaganga watu 26 na kuwasababishia kifo papohapo.
Polisi wa usalama barabarani walipo muhoji ilikuwa kama ifuatavyo...
Polisi: Ilikuaje ukawagonga watu 26.
Dereva: Kulia kwangu kulikua na mtu m1 na kushoto watu 25. je ungekuwa
wewe afande ungefanyaje?
Polisi: Ningemgonga m1 nakuokoa maisha ya watu 26.
Dereva: Enhee namimi nilitaka kumgonga mtu m1 wa kulia mara akakimbilia
kushoto kwa watu 25 alifikiri sijamuona nikamfuata hukohuko.
Afande: Duuuuh!!!!!!!!!!????????????
Polisi wa usalama barabarani walipo muhoji ilikuwa kama ifuatavyo...
Polisi: Ilikuaje ukawagonga watu 26.
Dereva: Kulia kwangu kulikua na mtu m1 na kushoto watu 25. je ungekuwa
wewe afande ungefanyaje?
Polisi: Ningemgonga m1 nakuokoa maisha ya watu 26.
Dereva: Enhee namimi nilitaka kumgonga mtu m1 wa kulia mara akakimbilia
kushoto kwa watu 25 alifikiri sijamuona nikamfuata hukohuko.
Afande: Duuuuh!!!!!!!!!!????????????