njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Ndugu zangu naona vijembe vya wanayanga huku list wanayotumia ni ya yuleyule mbaya wao Micky jnr wa Ghana ambaye ndiye pekee hadi sasa aliyepost teams kumi.
CAF hawajatoa list wamesema watatoa maelezo zaidi in coming days,ila msishangae hao Yanga wakawepo kwani hadi sasa jamaa ni kama hili jambo hawana uhakika wa wanachokifanya
Ni hivi kuanzia mwakani, Format hii tunayoijua ya champions league inaenda kufa, inatumika ile format ya zamani kama ile iliyoipeleka Simba fasta fasta fainali ya CAf 1993
Yaani knock out mwanzo mwisho, yaani mechi 6(12 ukifanya home and away team iko fainali) yote hii ili iishe haraka waweze ku accomodate super league
Pia haitaitwa tena champions league itatumia jina la zamani, Africa championship cup
CAF hawajatoa list wamesema watatoa maelezo zaidi in coming days,ila msishangae hao Yanga wakawepo kwani hadi sasa jamaa ni kama hili jambo hawana uhakika wa wanachokifanya
Ni hivi kuanzia mwakani, Format hii tunayoijua ya champions league inaenda kufa, inatumika ile format ya zamani kama ile iliyoipeleka Simba fasta fasta fainali ya CAf 1993
Yaani knock out mwanzo mwisho, yaani mechi 6(12 ukifanya home and away team iko fainali) yote hii ili iishe haraka waweze ku accomodate super league
Pia haitaitwa tena champions league itatumia jina la zamani, Africa championship cup