Tanzania yaweka Historia kuingiza Timu 2 Mashindano ya CAF Champions League huku Timu 2 tu za Waarabu zikipenya

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,070
49,752
Screenshot 2024-03-03 113857.png

Wakati Tanznaia ikiandika historia ya Kupeleka timu 2 kwenye ngazi ya robo fainali na kuwa Nchi pekee yenye timu mbili za Yanga na Simba ,Kanda ya Kaskazini imeporomoka vibaya.

Ni timu 2 tuu za Kiarabu zimepenya hatua hii ya robo yaani Al Ahly na Esperence huko Morocco ikikosa timu kabisa.

Aidha Africa Kusini mwa Jangwa la Sahara imefanikiwa kuandikisha timu 6 hatua hii jambo ambalo halijawahi tokea hapo kabla.

My Take
Hongera sana Tanzania ya Samia inang'aa Kila sekta.Ni katika awamu hii ya 6 ndipo Nchi imepata mafanikio makubwa kimichezo kuanzia kwenye vilabu Hadi timu za Taifa kutokana na hamasa ya Rais Samia ikiwemo kutoa pesa za Zawadi.
Screenshot 2024-03-03 113857.png
Screenshot 2024-03-03 114227.png
20231020_180555.jpg
20231020_180603.jpg


View: https://www.instagram.com/p/C4BtSX6tf-v/?igsh=MWwyMWl6b29mcDRyeQ==

====
Tanzania is the only country with 2 teams in the last 8Teams that have made it to the CAF Champions League quarterfinals so far including;

1. Yanga
2. Simba
3. TP Mazembe
4. Asec Mimosa
5. Al Ahly
6. Mamelodi Sundowns
7. Petro de Luanda

Screenshot 2024-03-03 114227.png
 
Ina maana Ligi ya Tanzania imekua bora sana hata hao Azam wangeacha mambo zao za kukamia mechi chache tu tungeweza kupeleka Timu tatu Robo kama wangepata nafasi ya kushiriki Klabu Bingwa..
 
Back
Top Bottom