Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Hivi karibuni kuna mwanamke mmoja Mkoani Ruvuma alijitokeza mbele ya kituo cha terevisheni cha TBC1 na kusema (kwa uhakika) kuwa amekuwa akitokewa na mwalimu Nyerere na kupewa maagizo ampelekee Rais jakaya Kikwete kuwa Chama(CCM) kimeacha maadili na kinafanya mambo ambayo hayampendezi Mwalimu.
Wengi walimpuuza huyu mama.
Naomba wana JF mnisaidie, Hivi kitu kama hicho kinawezekana?
Kuna dalili ya ukweli wowote juu ya anachokisema huyu mama?
Wengi walimpuuza huyu mama.
Naomba wana JF mnisaidie, Hivi kitu kama hicho kinawezekana?
Kuna dalili ya ukweli wowote juu ya anachokisema huyu mama?