MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,561
Mh ndugu yangu hii wala haitamsaidia sana kwani bado dhamira itaendelea kumsuta kwa aliyoyatenda. Ni uamuzi mbaya aliyoufanya sema tu nasi tunashirikiana naye kumshauri visivyo kwa kuwa alitakiwa amwambie ukweli mumewe then asubiri matokeo ila kwa kuwa ni wazi alichokifanya sicho basi ajaribu kote kote akishindwa ndo bazi zake zilitimia!Bibie kwa ushauri wako naamini kabisa jamaa hatothubutu tena kumsumbua mwanamama..
Ila sidhani kama hilo ni solution kwani kama shemeji ni mkorofi anaweza akaamua kulikisha news kwa njia yoyote ili amkomoe bibie lol na yeye ajitie kitanzi ah!