- Thread starter
- #21
mkuu ni mara mbili nimeshapata tatizo la Pesa kugoma kutoka kwenye ATM Machine, nilipita kwenye ATM za PBZ hapa Malindi Zanzibar, siku ya kwanza rlinasa 10,000 baada ya wiki 3 ikanasa 40,000, ATM machine ile ile nikaingia mpaka ndani ya Bank sikupata maelezo ya kuridhisha nikawapigia Azania Bank Dar ikawa hakuna maelezo ya kutosha sikuridhika, kwanini ikitokea tatizo kama hii hamuwezi kulishughulikia? Mbona CRDB nilipata tatizo nilipata huduma within 10 Minutes? Inabidi muangalie hayo mabenki mnayoshirikiana nao sio wastaarabu
Pole sana manyanza,
- Ulifanikiwa kutatuliwa tatizo lako? kama hapana niandikie kwenye uswege.mwaipyana@umojaswitch.co.tz nitalifatilia
- Tumekusikia na tunajitajidi sasa kuondosha kero kwa wateja wetu, ikitokea unapata shida siku ingine, kama umewasiliana na benki na bado hujaridhika, tafadhali wasiliana na sisi