ATM za CRDB Bank Kigamboni zinasumbua saana

Simba Mwema

Member
Dec 5, 2023
37
58
Habar wanamajumui, niende moja kwa moja kwenye mada,
Mashine za kutolea Hela (ATM) za bento ya CRDB eneo la Kigamboni zinasumhuq saana hasa wakati wa siku za wiki, mfano wa ni ile ilioko kituo cha Mbuyuni karibu na Ilioko Kigamboni Ferry wakati mwingine ziko slow saana ha mara nyingi hazifanyi kazi kabisa.
Ile iliok sheli ya Mo Oli Ferry unaweza huwa ina msururi wa watu , unaweza kutumia kuanzia Dk 30 - 50 kusubiri kuingia na ukiingiq unatumia kuanzia dk 4- 7 kufanya mwamala,
Zinasababisha usumbufu na kupoteza muda .
Wahusika walifanyie kazi suala hili
 
Habar wanamajumui, niende moja kwa moja kwenye mada,
Mashine za kutolea Hela (ATM) za bento ya CRDB eneo la Kigamboni zinasumhuq saana hasa wakati wa siku za wiki, mfano wa ni ile ilioko kituo cha Mbuyuni karibu na Ilioko Kigamboni Ferry wakati mwingine ziko slow saana ha mara nyingi hazifanyi kazi kabisa.
Ile iliok sheli ya Mo Oli Ferry unaweza huwa ina msururi wa watu , unaweza kutumia kuanzia Dk 30 - 50 kusubiri kuingia na ukiingiq unatumia kuanzia dk 4- 7 kufanya mwamala,
Zinasababisha usumbufu na kupoteza muda .
Wahusika walifanyie kazi suala hili
Sio ATM peke yake, hata keyboard ya simu Yako nayo inasumbua. Nimetumia takribani dakika 5 kuelewa ulichoandika.
 
Habar wanamajumui, niende moja kwa moja kwenye mada,
Mashine za kutolea Hela (ATM) za bento ya CRDB eneo la Kigamboni zinasumhuq saana hasa wakati wa siku za wiki, mfano wa ni ile ilioko kituo cha Mbuyuni karibu na Ilioko Kigamboni Ferry wakati mwingine ziko slow saana ha mara nyingi hazifanyi kazi kabisa.
Ile iliok sheli ya Mo Oli Ferry unaweza huwa ina msururi wa watu , unaweza kutumia kuanzia Dk 30 - 50 kusubiri kuingia na ukiingiq unatumia kuanzia dk 4- 7 kufanya mwamala,
Zinasababisha usumbufu na kupoteza muda .
Wahusika walifanyie kazi suala hili
Aya sasa mmeiishapokea boom kelele haziishi
 
Kwa Dar bado unaendelea kutegemea ATM tu?
Simbanking ndiyo habari
Au Mobile app!
Mimi huwa naenda kwa Mawakala nikiwa na hizo application!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom