Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,980
- 93,975
Watu kama sisi tukikosekana jamvini, basi JF itakua inaboa kama kitabu cha katiba...mwanzo mwisho ni mikwara tu.
Btw kuna majukwaa huwa nakuwa realistic, nashusha nyanga halafu naondoka mojawapo ni JF Doctor, Tech na Siasa.
Btw kuna majukwaa huwa nakuwa realistic, nashusha nyanga halafu naondoka mojawapo ni JF Doctor, Tech na Siasa.
ha haaa, lol!
ndo uwe unakuwa real, except ID......
huoni kwa nini mimi napenda kuwa real? sitaki kujichanganya