Kila nikiondoka nakuwa navutwa shati mkuu...inabidi nirudi kuja kuangalia ni wito gani nilioitiwa...naona Chitchat nako kumenoga kuna dialogue ya matunda kule imeletwa na FP unaweza enda huko ukasafishe macho...nilikuwa sijui kumbe matunda nayo yana mambo ya kikubwa
watu8 na Kaizer..... huu uzi mmeufukunyua wapi tena? utahamishwa msipoangalia......Nimemwona FP amekufunga breki na mapicha yako...umeona uchokozi wa charminglady? Mwambie aniPM bana .
Nimemwona FP amekufunga breki na mapicha yako...umeona uchokozi wa charminglady? Mwambie aniPM bana .
watu8 na Kaizer..... huu uzi mmeufukunyua wapi tena? utahamishwa msipoangalia......
mambo ya antena sasa yametoka wapi tena wewe watu8?
huyu ndo anaanzaga hivi hivi Kaizer, ukishtuka tayari kishamwaga mapicha.....
kule kwangu nimemkimbiza maana nimegundua "home sweet home"
na kuna sehemu nimekuita mtani ukapokee asante yako na kutoa ushauri endelevu, project imejibu.....Hahaha mtani yaani unanisaka hadi huku loh!!!
hata mie ninalo la kuuliza lolz.. nikiruhusiwa nitauliza hahaha hahaaaanatamani kuuliza ila mmmmh
Kaizer aaaaaaaaaaaaaaaaaa mi missing u!Nimemwona FP amekufunga breki na mapicha yako...umeona uchokozi wa charminglady? Mwambie aniPM bana .
na kuna sehemu nimekuita mtani ukapokee asante yako na kutoa ushauri endelevu, project imejibu.....
kumbe mtaalam hivyo!!!!! lol! hongera mtani
hata mie ninalo la kuuliza lolz.. nikiruhusiwa nitauliza hahaha hahaaaa
Hahaha wakati mwingine hizi ID's zetu feki huficha mengi...
Yaani huo msaada niliutoa kitambo sana hadi nilikuwa nimeshasahau...
ha haaa, lol!Hahaha wakati mwingine hizi ID's zetu feki huficha mengi...
Yaani huo msaada niliutoa kitambo sana hadi nilikuwa nimeshasahau...
mtani nitakutafuta pale kwa yusuph tukae kama kamati!
manake nasikia uko vizuri kwenye kaproject flani hav!watu wanatafta kwaju t hko sa hz!