Athari za siasa

Great thinker asingebandika kitu cha namna hii.

Je, hili ni swali? Mtazamo? Statement? Ni kitu gani haileweki. Unless ulikuwa unajaribu kubandika kwa mara ya kwanza, kitu ambacho siyo jambo baya kama ungetumia angalau dakika 10 kufikiri utabandika nini. Siyo vitu nusu nusu, tofauti ya Facebook na JF ni kuwa huku hakuna 'What's on your mind?'.

Ulichokiandika kinabaki na swali, KWAHIYO?
 
Back
Top Bottom