Je, hili ni swali? Mtazamo? Statement? Ni kitu gani haileweki. Unless ulikuwa unajaribu kubandika kwa mara ya kwanza, kitu ambacho siyo jambo baya kama ungetumia angalau dakika 10 kufikiri utabandika nini. Siyo vitu nusu nusu, tofauti ya Facebook na JF ni kuwa huku hakuna 'What's on your mind?'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.