Salama wakuu.ningependa kujuwa mathara ya kula mirungi na faida yake.niliwahi kula sana mombasa na wala sikuona athari zake kwa mm binafsi..sasa nataka niache uraibu wote nianze kula mirungi.
Maana nakumbuka ulevi wake nitofauti na pombe,unautulivu kidogo.naombeni kufahamu tafadhali.
Maana nakumbuka ulevi wake nitofauti na pombe,unautulivu kidogo.naombeni kufahamu tafadhali.