Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Haaa..haaa
Nimeipata hiyo katika nusanusa...!
Actually wameambiwa wabandue posts/matangazo waliyokuwa wameyabandika kila mahali kwenye jengo la kuondokea abiria!
Ushindani bomba sana...
Kaka naona leo unafuraha isiyo kifani!
Na wewe unalikamata lipilao la ATCL?