Kulikoni,
Sawa mkuu maadam sote tuna agree on principals pamoja na kwamba wewe una strategies tofauti na zangu ktk maswala haya ya biashara.
Binafsi naelewa kabisa kuwa sasa hivi sio tena wakati wa Ujamaa ambapo huduma hata ya usafiri wa baiskeli ulikuwa muhimu ktk barabara mbovu, nachoamini mimi ni kwamba dunia hii ni dunia ya baishara ambapo kila mhusika ni mshindani na ubora wa huduma ktk biashara ni kitu kinachotangulia kwanza..
Kulikoni, message yako ingekuwa na maana tu kama shirika la ATCL sio biashara! Pili, ingekuwa ndio kwanza tumeanza kufungua shirika la ndege nchini!...na Tatu short term in a sense sio biashara ya kudumu!..
Zaidi ya hapo mshikaji ktk dunia hii ya biashara na mashindano mtazamo wako ni mbaya na wala sintamshauri mtu. Airline is a big business na kama huna hela basi bora ukae pembeni kabisaaa yapo mashirika binafsi na hata ya kigeni yataweza kutupa usafiri lakini sio kuanza vibaya ukategemea ati hii ni short term kesho utanunua kilicho bora.. Utauza vipi kibaya ili uweze kukuza mtaji wako wa kununua hicho kizuri?..
Hii ndiyo niliyosema huko nyuma kuwa ni Vifaa ku- define your Business! badala ya Biashara ulokusudia ku -define vifaa utakavyohitaji. Ndio maana sisi wabongo siku zote tunalewa inapofikia swala la biashara za kimataifa maanake unafikiria kwanza upate gari kisha ndio uanze kufikiri utalifanyia kazi gani!.. badala ya kufikiria biashara ya usafiri kwanza kisha ni gari gani linalohitajika!.
Short term inayokubalika hapa ni UKUBWA wa shirika lenyewe.. yaani wameamua kuanza na ndege mbili 737 (brand new) kisha in the future (long term) watanunua nyingine zaidi na kubwa zaidi, kufungua matawi zaidi na hata usafiri wa nnchi zanje! lakini sio short term ya ku-lease ndege za kujishikiza tupate usafiri wa ndege kisha baadaye tutanunua ndege za maana!...
Sijui bado hujanipata ktk tafsiri hii!..
ATCL ilikuwa ikifanya vizuri miaka yote kama Tanesco kabla hatujaingia maswala ya wageni!.. Tukaviuza nje... na kama signature yako inavyosema. Ten years after tumekuja gundua kuwa tumevikwa mkenge!.. Leo, tumetokea na matatizo stranded in both ways wanaamua kutafuta njia za shortcut na sio short term!.. Hizo za waganga wa Mvua na sasa hivi ndege za kudodisha...
Kulikoni nitarudia kusema Biashara ndiyo hupanga vifaa!.. Huwezi kusema unafungua biashara kama hii kwa mtazamo wa short term in a sense kuwa Utajiendeleza baadaye na biashara hiyo hiyo!.. Hii ni akili mbaya sana ya kibiashara ndio maana nikakupa mfano wa mabaharia!..
Kuna tofauti kati ya long term kwa mantiki ya KUJISHIKIZA kwa mudakisha utafanya biashara nyingine (hapa unaweza kabisa kukodisha). Na long term kwa maana kuwa biashara hiyo ni ya kudumu.. basi hapa mshikaji sidhani kama kukodisha mali mbovu ni mwanzo mzuri. You want to compete in a business, swala la kuondoa lawama za watu kama lile la Mvua na Richmond ni ufinyu wa hao viongozi kufikiri kibiashara!..
Naamini kabisa ATCL wapo wasomi unless ndio hao - Limbukeni wafuga ng'ombe wa kizungu!...Kama waliweza kukaa na kuamua kuvunja mkataba basi wangekuwa na mawazo mazuri ya mwanzo mpya.
Mwisho -, Kulikoni, if something doesn't sound right?... wewe unafikiri kuna kitu gani?.. I mean if this deal makes U go Mhhhh, something fishy!.... why that?...
You smell...KANYABOYA!.. which translate to - RUSHWA!
Sawa mkuu maadam sote tuna agree on principals pamoja na kwamba wewe una strategies tofauti na zangu ktk maswala haya ya biashara.
Binafsi naelewa kabisa kuwa sasa hivi sio tena wakati wa Ujamaa ambapo huduma hata ya usafiri wa baiskeli ulikuwa muhimu ktk barabara mbovu, nachoamini mimi ni kwamba dunia hii ni dunia ya baishara ambapo kila mhusika ni mshindani na ubora wa huduma ktk biashara ni kitu kinachotangulia kwanza..
.Yes, long term plan has to be done... and I hope it is being done. But when you have some stranded passengers and your plane is grounded, na huna pesa za kununua mpya at the moment..... leasing some aircrafts at a reasonable cost while working on the long term plan is a very logical thing to do, as far as I am concerned. Maswali tu ni whether there is a wierd catch or not
Kulikoni, message yako ingekuwa na maana tu kama shirika la ATCL sio biashara! Pili, ingekuwa ndio kwanza tumeanza kufungua shirika la ndege nchini!...na Tatu short term in a sense sio biashara ya kudumu!..
Zaidi ya hapo mshikaji ktk dunia hii ya biashara na mashindano mtazamo wako ni mbaya na wala sintamshauri mtu. Airline is a big business na kama huna hela basi bora ukae pembeni kabisaaa yapo mashirika binafsi na hata ya kigeni yataweza kutupa usafiri lakini sio kuanza vibaya ukategemea ati hii ni short term kesho utanunua kilicho bora.. Utauza vipi kibaya ili uweze kukuza mtaji wako wa kununua hicho kizuri?..
Hii ndiyo niliyosema huko nyuma kuwa ni Vifaa ku- define your Business! badala ya Biashara ulokusudia ku -define vifaa utakavyohitaji. Ndio maana sisi wabongo siku zote tunalewa inapofikia swala la biashara za kimataifa maanake unafikiria kwanza upate gari kisha ndio uanze kufikiri utalifanyia kazi gani!.. badala ya kufikiria biashara ya usafiri kwanza kisha ni gari gani linalohitajika!.
Short term inayokubalika hapa ni UKUBWA wa shirika lenyewe.. yaani wameamua kuanza na ndege mbili 737 (brand new) kisha in the future (long term) watanunua nyingine zaidi na kubwa zaidi, kufungua matawi zaidi na hata usafiri wa nnchi zanje! lakini sio short term ya ku-lease ndege za kujishikiza tupate usafiri wa ndege kisha baadaye tutanunua ndege za maana!...
Sijui bado hujanipata ktk tafsiri hii!..
ATCL ilikuwa ikifanya vizuri miaka yote kama Tanesco kabla hatujaingia maswala ya wageni!.. Tukaviuza nje... na kama signature yako inavyosema. Ten years after tumekuja gundua kuwa tumevikwa mkenge!.. Leo, tumetokea na matatizo stranded in both ways wanaamua kutafuta njia za shortcut na sio short term!.. Hizo za waganga wa Mvua na sasa hivi ndege za kudodisha...
Kulikoni nitarudia kusema Biashara ndiyo hupanga vifaa!.. Huwezi kusema unafungua biashara kama hii kwa mtazamo wa short term in a sense kuwa Utajiendeleza baadaye na biashara hiyo hiyo!.. Hii ni akili mbaya sana ya kibiashara ndio maana nikakupa mfano wa mabaharia!..
Kuna tofauti kati ya long term kwa mantiki ya KUJISHIKIZA kwa mudakisha utafanya biashara nyingine (hapa unaweza kabisa kukodisha). Na long term kwa maana kuwa biashara hiyo ni ya kudumu.. basi hapa mshikaji sidhani kama kukodisha mali mbovu ni mwanzo mzuri. You want to compete in a business, swala la kuondoa lawama za watu kama lile la Mvua na Richmond ni ufinyu wa hao viongozi kufikiri kibiashara!..
Naamini kabisa ATCL wapo wasomi unless ndio hao - Limbukeni wafuga ng'ombe wa kizungu!...Kama waliweza kukaa na kuamua kuvunja mkataba basi wangekuwa na mawazo mazuri ya mwanzo mpya.
Mwisho -, Kulikoni, if something doesn't sound right?... wewe unafikiri kuna kitu gani?.. I mean if this deal makes U go Mhhhh, something fishy!.... why that?...
You smell...KANYABOYA!.. which translate to - RUSHWA!