nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Hilo na mie pia lime ni put off. Huyo dada yako ni character na napata shaka kama ni kweli hakujua kuwa ana deal na married man.
Mmh..siku hiyo hiyo kalala na wanaume wawili bila kinga yoyote?? Kwa mtindo huu hatuponi kabisa!!