Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Mmh..siku hiyo hiyo kalala na wanaume wawili bila kinga yoyote?? Kwa mtindo huu hatuponi kabisa!!
Hapo ndio pananiogopehsa zaidi!
Mmh..siku hiyo hiyo kalala na wanaume wawili bila kinga yoyote?? Kwa mtindo huu hatuponi kabisa!!
mbombojilipo ! Na wewe masikin-j unataka kujiongeza kwenye list ,kisa na mkasa baduguili kufanyike vipimo vya dna ni lazima pite mahakamani; hapa labda kati ya hao wanaume wa2 mmoja aende kudai mahakamani; yeye kama nataka kuthibitisha basi asubiri mimba itungwe(sijui imeshatunga?) na azae basi............awe wa mme wa mtu ama wa mchumba bado atakuwa ni mwanae na hicho ndio cha msingi; baba anaweza kuniappoint hata mimi ikiwa hao wawili watamzingua!
we Rose we na hilo jicho lako long time nshakwambia ntakuchapa.
Haya nambie hivi ingekuwa dume ka Bishanga kaharibu na anakuja omba msaada wanawake wa mmu si mngeniparura,na sisi muwe mnatuonea huruma basi.
Sasa kama alipanga kuzaa na jamaa yake mpya angetumiaje kondom? na pia, huyo kinganganizi naye anataka mtoto, alikua dada yuko kwenye denger days, hivyo na yeye alingangania yango na yango! Ndio kinachompa dada huzuni!
Jamani dada zetu kwa nini msiwe wawazi? Kwanza hujatuambia huyo dada ana umri gani yawezekana tukalaumu tu kumbe maamuzi hayo yamefanyika kuendana na umri wa mhusika.
siku 1 unalala na watu 2!!! hii takwimu inatia kichefuchefu!!hata bongo muvi haiko ivyo!!
na wote pekupeku utadhani hawajui duka la condom liko wapi,mtatuua nyie wanawake,sisi tunajihemu tunakuwa na mpenzi mmoja kumbe nyie mnaliwa dabo dabo.
nyie madada wa jf mnasema hamtaki nyumba ndogo,
sasa huyu mwenzenu mnamkubali je, kwenda kulala na mibaba miwili
kwa siku huku akijua jamaa ana mke,
haya iwe kalala na mumeo ungemshauri nini.
wana jf rafiki yangu mpenzi amekwama, ana huzuni kubwa sana ya yaliyompata. Naomba ushauri wenu. Sitaweza kueleza kila kitu. Lakini ni long story.
Kifupi. Ana jamaa ambaye ni mume wa mtu. Walianzana naye kama 4 years ago. Wakati anamfuata, jamaa alisema kuwa hana mke kwa sasa. Mkewe alifariki. Jamaa alionyesha mapenzi makubwa sana. Baada ya miaka 2, dada akajua kuwa jamaaa ana mke. Kila alilifanya dada ili kumtema jamaa, imeshindikana. Jamaa ni kinganganizi, amejipeleka kwa ndugu wote wa dada eti anadia anataka kuoa. Jamaa habanduki kwa dada, kila siku yupo,. Jamaa ana wivu, dada hana rafiki wala nini! Dada hana hata nafasi ya kupata mchumba.
Ikatokea bahari dada amekutana na mtu ambaye wanapanga kuoana, shida atamtemaje jamaa, ambaye yuko violent na anakaba hata corner?
Sasa dada akapanga kuzaa na jamaa ili mimba ikitokea amwambie jamaa ili waachane. Bahati nzuri dada akafanya mapenzi na mchumba siku ya 10 na wakafanya tena siku ya 13 machana. Bahati mbaya siku hiyo hiyo ya 13 jioni jamaa akaja, na dada hakuwa na ujanja wakafanya mapenzi usiku. Dada ikamuuma sana, kwa kuwa hadi sasa hajui baba wa mtoto atakuwa yupo. Mzunguko wake ni 28 days. Msaidieni wana jf, msimcheke, msimchambe, ni ya dunia haya!
hii!!ni haliii ya hatarii...huyo mdadaa kanisikitisha,yanii kulalaa na midume miwiliii kwa siku mojaaa,huyo dada anampenda mme wa mtu,sithani hata mwanaume akiwaa kinganganizii vipi huwezi kumnyimaa unyumbaa.that is big mistake in u life...ilaa mimbaa haiwezi kudungwaa mara mbiliii,itakuwaa ni yamwanamme wa kwanza alie lalaa nae huyo mme wa mtu amewekaa nguvu tu.chamuhimu subiri mtoto azaliwee?utajuaa ni damu ya naniii
Huyo dada na uzinzi wake hafai kwani ni tapeli wa mapenzi.
Dada miaka 33
Mume wa mtu miaka 52
Mchumba mpya miaka 37
na wote pekupeku utadhani hawajui duka la condom liko wapi,mtatuua nyie wanawake,sisi tunajihemu tunakuwa na mpenzi mmoja kumbe nyie mnaliwa dabo dabo.
Dada miaka 33
Mume wa mtu miaka 52
Mchumba mpya miaka 37
mbona hasira baba kwan vpAsha,hiyo DNA sample za wanaume zake ataipataje? halafu siku hizi DNA test nasikia mpaka kwa order ya mahakama,ataipataje hiyo order?
Halafu nyie kinamama kwa kuteteana mmezidi,yaani mnaona kabisa mwenzenu kalikoroga lakini mmo tu mnatetea,kha! alishindwa nini kumwambia huyo mme wa mtu kuwa 'anaumwa kichwa?' mtaka yote tu huyu , aende zake huko.