Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
baada ya miaka 6 na ushee mama Aisha Bilal jana for the first time ametabasamu in public
hongera mama
sasa hiyo NGO yako iko wapi?
hongera mama
sasa hiyo NGO yako iko wapi?
sio huyo aneyanunaga bana,ni yule mweupe lol
kama uchochoroAna mwanya?... Nilikuwa sina habari.
Anayenuna ni huyu. Yule white full kusmile na ni charming. Huyu mmmh!!! Hapa sijui ilikuwaje aka smile mi mwenyewe nimeshangaa.
Yule mweupe ndo ana nunaga..hana ucharming wowote..mwanamke kavimba shavu kama paka wa muhimbili,lol..namuonaga sana huku mikocheni sijui ana issue gani
lakininajua mmoja yuko serious 24/7
Yule mweupe ndo ana nunaga..hana ucharming wowote..mwanamke kavimba shavu kama paka wa muhimbili,lol..namuonaga sana huku mikocheni sijui ana issue gani
hahahahahahahahh mwe!Yule mweupe ndo ana nunaga..hana ucharming wowote..mwanamke kavimba shavu kama paka wa muhimbili,lol..namuonaga sana huku mikocheni sijui ana issue gani