Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Honey, usije ukanikonfyuzi na hawa ma tablets wengine tafazali. Si unaskia washatumia jina la pharmacy kumtongozea Lily flower?
Ha ha ha ha ha kweri we ni mkari!!!!
Honey, usije ukanikonfyuzi na hawa ma tablets wengine tafazali. Si unaskia washatumia jina la pharmacy kumtongozea Lily flower?
Huyo Fellow Tablet atafaidi sana hao wengine naona kama washika pembe
Mch
Orait Orait am getting there,
kwahiyo wameshikilia kwenye makali kazi iko.
aka mimi hata sijampiga sound huyo Lily Flower labda wale tablets wengine
Maana yake wameshikilia pembe Mkamuaji ni Fellow Tablet!
Alafu it happens Fellow Tablet ni wewe ngoja waanze kukupa hongera kabla.
Halaf Lily Flower sjui nani alikwambia kama nina marazi na miguu, yaani hii miguu yako mimi nikiiona tu basi nasahau mpaka password yangu ya JF. Jamani mtauwa halaf mazikoni msihuzurieKlorokwini, mtoto wa baba more than 3 atatokaje??? hizo wish :nono::nono:
We waache tu wanatuvuruga akili kweli, hivi TF mbona leo haonekani kulikoni??
endelea kukamua taratibu somo
utabiri wangu unaniambia jamaa atakuwa hana kibarua, anakimbia majukumu.Klorokwin baba mmoja ameshakana :mimba: ona hapo juu.
tahazari na ovadozi mamaAsprin
Klorokwin
Fellow tablets
Fellow tablets 1
TF
Mmmmmhhhhhh
AD CONFUSED....(Heeeeeeeeeelp)
Halaf Lily Flower sjui nani alikwambia kama nina marazi na miguu, yaani hii miguu yako mimi nikiiona tu basi nasahau mpaka password yangu ya JF. Jamani mtauwa halaf mazikoni msihuzurie
utabiri wangu unaniambia jamaa atakuwa hana kibarua, anakimbia majukumu.
usiondoe aisee, hapa kijijini kwetu ukifa kwa ajili ya mwanamke kaburi lako wanaliandika "mtakatifu".Angalia mada kesi zisichukue mkondo wake nitaondoa miguu kwa manufaa yako.
The Following User Says Thank You to Fellow Tablet For This Useful Post:
Nakuongezea na hapa thanks.
usiondoe aisee, hapa kijijini kwetu ukifa kwa ajili ya mwanamke kaburi lako wanaliandika "mtakatifu".