Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,484
- 30,162
Ambao wameishadadia hiyo hoja ni wapinzani au CCM?
Hebu jaribu kupima thread zinazofunguliwa mfulululizo kutaka kumjibu Kakobe
Swali ninalojiuliza ni kuwa aliyeambiwa atubu amekaa kimya, wapambe ndiyo mnakanyagana na kuumizana!
Kulikoni??
Ngoja aliyeambiwa atubu tumsikie ajitokeze hadharani na kusema aidha anakubali kufanya toba hiyo au amekaidi - OVA
Hebu jaribu kupima thread zinazofunguliwa mfulululizo kutaka kumjibu Kakobe
Swali ninalojiuliza ni kuwa aliyeambiwa atubu amekaa kimya, wapambe ndiyo mnakanyagana na kuumizana!
Kulikoni??
Ngoja aliyeambiwa atubu tumsikie ajitokeze hadharani na kusema aidha anakubali kufanya toba hiyo au amekaidi - OVA