Michael Rweikiza
Member
- Oct 6, 2017
- 53
- 24
Mmmmm,,,,nisije nika beniwa saanane miee,,acha nikae kimya
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
kuna wapuuzi wachache wanajifanya hawaoni huyu dikteta uchwara anapotupelekaUsalama wa uchwara na MACCM. Wangekuwa ni usalama wa Taifa wangempiga stop huyu dhalimu kwa kumwambia unakoipeleka nchi siko utaitumbukiza kwenye machafuko makubwa sana.
kuna wapuuzi wachache wanajifanya hawaoni huyu dikteta uchwara anapotupeleka
Hilo ni dhehebu la wanafiki hawawezi na hawatakuja kuongea ukweli mpaka Pengo abakize pengoWAKATOLIKIII........
NINI KIMEWAKUTA AWAMU HII..!!???
Yule Askofu uona yaliyojificha sirini,anajua dunia ni ya Mungu upepo ugeuka.Wataelewa tu Mkuu watake wasitake.
Mkuu nimekupa like ila sijui kama ni weweNi kweli serikali yetu imekuwa ni ya kinyanyasaji sana.... badala ya kuboresha maisha ya wananchi ndio kwanza inadidimiza...
Kifilimbi naona unatoa ushuzi mithili ya pig.Mwal wangu aliwakusema ujinga ni dhambi hvyo wew ni sinnerSasa nani kamwambia Nchi ni ya chama kimoja? Kwa hiyo rais atubia makosa gani? Wachungaji wa matumbo hao!!
Ni kweli serikali yetu imekuwa ni ya kinyanyasaji sana.... badala ya kuboresha maisha ya wananchi ndio kwanza inadidimiza...
mleta mada alienda kusali sio kurecord, bali kusikiliza maagizo na kuyaweka moyoni ili apate kuyaishi kwa matendoNahisi wanasikilizia upepo.........pia aliyeandika huu uzi aweke na video......
[HASHTAG]#kakobhe[/HASHTAG]
Ovyo kweli kweliDuu.....hizi hoja za kishoga kabisa!!!
Taifa hili linateketezwa na ccm.....pengo nadhani umesikia aliyoyasema Leo madhabauni, siasa tupu lkn kwa kuwa anampamba mungu mtu wa Tanzania hana kosa...
HahaTimu Kakobe imeanza usajili leo hebu tuwahi usajili walegeza vyuma.
Tehe tehe teheeeeee!!
Timu Kakobe imeanza usajili leo hebu tuwahi usajili walegeza vyuma.
Tehe tehe teheeeeee!!