Erick_Gwanko
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 202
- 121
Nahisi wanasikilizia upepo.........pia aliyeandika huu uzi aweke na video......
[HASHTAG]#kakobhe[/HASHTAG]
[HASHTAG]#kakobhe[/HASHTAG]
Another keyboarder.Unaweza kumnunua Pengo mmoja lakini wacha Mungu wa kweli wakasimama na kutetea nchi .
Mnachopaswa kufanya ni kujibu hoja zake kwa fact. Kuita uchochezi bila fact yoyote haisaidii. Mwisho wa siku kwanini hamkubali mawazo tofauti? Mwanadamu hakuna mkamilifu hivyo ukisemwa acha kutafuta sababu za kujitetea, jiangalie kama kinachosemwa ni kweli chukua hatua. Kama sio kweli songa mbele kila mtu ana mdomo wake anayo haki ya kuongea. Mbona JK aliweza hili sana tu, mtu akiongea ili mradi havunji sheria hakuna shida.Kakobe analeta uchochezi na huu ujinga anaoufanya haupaswi kuvumiliwa
Mkuu, ndio maana waliitwa NYUMBU. unaweza zamisha wote mtoni kwa wakati mmoja, hawafikiriagi.Chadema mnatia kinyaa sana kwakweli...hivi angemcfu magufuli ungeandika HVO?!!!
Ndio huyu huyu si unakumbuka na ile kashfa yake ya kumuuzia kimada wake nyumba za kanisa na ile skendo yake ya kununua kivuko kibovu cha kanisa!kakobe huyu huyu alieshtakiwa na wachungaji wake kwa kujimilikisha sadaka za kanisa?
Amekwambia atagombea nafasi gani?Sawa tumemuelewa 2020tutamchagua mbowe
Askofu Zakaria Kakobe leo akiwa kanisani kwenye ibada ya Christmas, katika kanisa la FGBF Mwenge jijini Dar es Salaam, amenukuliwa akituma salamu kwa Rais wa JMT, Dkt. John P. Magufuli.
Amina Baba Askofu Kakobe.Umesema kweli
"Rais John Pombe Magufuli, nawe unatakiwa kutubu leo. Unaposherekea sikukuu ya Christmas, ili uridhiwe na Mungu unatakiwa nawe utubu".
"Leo ni siku ya watawala wa Tanzania kutubu. Leo tumeanza kuona misingi ya amani ya nchi yetu ikitikiswa. Amani iliyojengwa kwa gharama kubwa na waasisi wetu. Tumeanza kuona nchi hii ni ya chama kimoja na huu ni uovu. Mungu mwenyewe anaheshimu sheria basi kama na sisi tumeweka sheria tunapaswa kuheshimu sheria tulizojiwekea wenyewe. Hii si nchi ya chama kimoja. Kama mnataka kubadilisha si mbadilishe tu mara moja kupitia wabunge wenu wa CCM, si mko wengi?".
"Sheria ni lazima zizingatiwe! Na kwa hili nitapiga kelele mpaka Mlima Kilimanjaro. Huwezi kusema wewe huwezi kusemwa, wewe ni nani? Mungu anasemwa vibaya sembuse wewe?".
"Mungu mwenye nguvu kuliko Magufuli, ana nguvu kuliko majeshi yote ya nchi, lakini anatukanwa na bado hatumii majeshi yake. Hata wewe unaweza ukawa mvumilivu" amenukuliwa akisema Kakobe.
Humjui kakobe ndugu kwa uliyoyaongeaUnajua Askofu kakobe anajijua uaskofu aliupataje kitapeli Askofu wa kiukweli angekuwa na uhusiano nzuri na Askofu wa Magufuli ambaye ni kardinali lengo akiwa na jambo angeenda kuongea na Askofu wa Magufuli Pengo na kumnongoneza kitu akamnongoneze muumini wake Magufuli .ninachokiona kuna maaskofu immature Ndani ya katoliki ,Lutheran,akina gwajima ,kakobe nk ambao hawajui majukumu ya uaskofu ni yepi na ukiwa na jbo na muumini wa kanisa lingine lisilo lako unatakiwa ufanyaje.shame on them all
We kijana inavyo onekana umekosa maadili kabisa na hata namna ya kufikiri kwako ni kwa tabu sanaKakobe aseme tu km ameshakuwa mwanasiasa
Issue ni katiba ya kanisa inasemaje inatoa nafasi yeye kuhubiri siasa
Inamaana huoni kinachoendelea au ujeuri tu? Mbunge wa cdm katavi amekatazwa kutoa msaada kwa wagonjwa kisa ni mpinzani. Ccm wanafanyia mikutano ikulu huu ni upuuziSasa nani kamwambia Nchi ni ya chama kimoja? Kwa hiyo rais atubia makosa gani? Wachungaji wa matumbo hao!!
Hoja inapingwa kwa hoja toa hoja mkuuNaona mashetani wanateteani shetani kijikobe anawatetea mashetani wenzanke tumekusikia shetani mkuu kobez
we nyoko kabisa,aache kuhubiri mema afanye kazi ya kutafuta watu?Yehodaya upo sahihi Mkuu lakini kwa mtu kama Kakobe haitaji kumtafuta nani ampelekee ujumbe Mh. ilitakiwa yeye mwenyewe afuate taratibu za kumuona Magufuri kuliko kuongea sehemu za ibada mambo ya siasa hata kama ni ushauri mzuri kwa mazingira aliyoyatoa inaleta chuki baina yao...