Hatugombani
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,096
- 685
Achana naye huyo...asiyeelewa, haelewi tu..giza baya...hongera kwa kumpa somo.kama hauamini kama Elisha mtishibi alishindana na viongozi wa serikali, kwanini alisimamisha mvua isinyeshe miaka 3.5? kama kweli huwa unasoma Le Bible