Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,884
- 4,897
Katika hali ya majonzi na maskitiko askofu mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania Mahimbo Mndolwa ametangaza kifo cha Askofu mpya wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Mpwapwa George Chiteto leo tarehe 3.9.2022 ikiwani nitakribani siku sita tangu askofu huyo alipowekwa wakfu wa kuwa askofu mkuu wa dayosisi hiyo.
Mauti yamemkuta akiwa mkoani Tanga ambapo alikwenda kwa ajili ya maziko ya mke wa Askofu Lugendo wa dayosisi ya Southern Highlands (mama Hilda Lugendo)
Bishop Chiteto ndio aliyehubiri ktk ibada hiyo ya maziko na dakika chache baadaye alizidiwa na kupoteza fahamu na baada ya kumpeleka hospitali alifariki dunia
Mauti yamemkuta akiwa mkoani Tanga ambapo alikwenda kwa ajili ya maziko ya mke wa Askofu Lugendo wa dayosisi ya Southern Highlands (mama Hilda Lugendo)
Bishop Chiteto ndio aliyehubiri ktk ibada hiyo ya maziko na dakika chache baadaye alizidiwa na kupoteza fahamu na baada ya kumpeleka hospitali alifariki dunia