- Thread starter
- #41
ni wimbo tu huo mnaoimbishwa na akina ben 16 wakiyafsiri maandiko kulinda nafasi zao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! poleni !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwisha habari yake.
ni wimbo tu huo mnaoimbishwa na akina ben 16 wakiyafsiri maandiko kulinda nafasi zao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! poleni !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwisha habari yake.
Hata Biblia si rejea ya mwisho, si kweli hata kidogo. Biblia, kigiriki 'biblos', humaanisha 'vitabu'. Ni mkusanyiko wa vitabu vilivyoandikwa na wanadamu kuhusu Mungu na viumbe wake na mambo yaliyotokea katika mahusiano yao katika nyakati mbalimbali, mafundisho mbalimbali nk. Na baada ya kuwepo vitabu vingi vinavyozumngumzia mambo ya Mungu, ndipo katika karne ya kwanza baada ya Kristo watu fulani waliojiona wao ndio wasomi wakaamua kuvikusanya vitabu hivyo kwa kuzingatia vigezo fulanifulani, wakapata mkusanyiko huo unaoitwa Biblia. kitabu cha mwisho katika mkusanyiko huo kiliitwa 'Ufunuo wa Yohana'. Lakini hata baada ya kitabu hicho cha "Ufunuo wa Yohana", bado walimu, wahubiri, wachungaji, nk waliendelea kuandika vitabu vingi tu walivyotumia kufundishia imani, na vyote vinafaa. Hakuna ushahidi wa kukubalika kuwa ati Mungu alikataza rejea nyingine nje ya Biblia, huo ni uzushi mtupu. Vipo vitabu vingi sana vilivyoendelea kuandikwa ambavyo havipo katika hilo kundi liitwalo 'Biblia', na vinafundisha wema, uchaji, huruma, matendo mema nk. Na pia zipo dini nyingi zaidi ya ukristo zinazofundisha hayo yote.
Kwa hiyo hakuna ukiritimba kwa Mungu, hakuna jamii inayommiliki Mungu, bali Mungu ndiye anayezimiliki jamii zote duniani, yakiwamo mafundisho yanayoongoza maisha yao ya kila siku. Mungu aliyewapa wazungu mafundisho hayo ya ukristo na biblia, ndiye huyohuyo aliyewapa waarabu uislamu, wachina ubudha, wahindi uhindu, na sisi waafrika dini zetu za asili ambazo zilikuwa bora sana kabla wazungu na waarabu hawajaziharibu kwa kututungia majina machafu ya upagani na ukafiri ili tuzichukie dini zetu.
Askofu Milingo aling'amua hayo yote akiwa keshachelewa sana, akiwa tayari keshachanganywa na elimu ya dini ya wazungu, na kujikuta akitapatapa. Mtakumbuka mwanzoni aliposakamwa sana na wakatoliki wenzie alishindwa kutunza msimamo "akatubu" na kumwacha mkewe kipenzi Maria Sung ili "arudishwe kundini". Sasa hata "kundi" limemtema!
kweli umekwisha kabisa mzee, na mungu/kuhani wako wa "milele" milingo ndo hivyo tena, sijui huo ukuhani wenu utakuwaje wakati huu amapo hao "makuhani" wenu wa milele wamegeuka kunajisi vitoto!!
Sij unamsema nani. Maana wiki mbili kuna mchungaji mmoja kakamatwa akizini baada ya kuwekewa mtego wa joka la kimazingira. List ni ndefu tukianza kiweka wazi lakini kwa ufupi soma magazeti Shigongo.
Ikiwa Catholicism is based on biblical prophecies and code. basi hawana askofu kibiblia. Labda Biblia wanayoitumia ni tofauti na hii iliyopo sasa. read 1Timothy 3:1-6. Inataja qualities za askofu. You will realize that none of them is biblically accredited bishop.
kwa hiyo akichagua mtu basi kila aliyechaguliwa anamsubstitute????????????
hadi leo wangapi wnafanya kazi ya Mungu? hata wale wanaonajisi watoto marekan wamem-substitute Yesu? you are not serious!!!!!
Yesu aliwaita na anaendelea kuita watumishi wake waaminifu wawe mitume na wachngaji walishe kundi lake. hata leo bado awaita. suala sijui ben wa 16 au pengo au nani sijui kamkatalia ni upuuzi tu.
hayo uliyonukuu hapo juu ni kumhusu kila mtumishi hata mimi na wewe tunapohubiri na kuwaleta watu kwa Bana Yesu tunahusika si lazima vatikani itoe ruksa, umesikia???
Kwa sura hii, matendo na mienendo tunatengeneza namna ya kukwazana kila kukicha. Millingo hakupewa Uaskofu kwa msingi anayoitumia kuendesha sehemu ya kanisa anayoiongoza. Millingo, alikabidhiwa kondoo wasafi na waadilifu katika misingi ya kanisa, akapewa fimbo apate kuwaongoza. Leo anaitumia fimbo hiyohiyo kuligawa kanisa, kuwatawanya kondoo kana kwamba hapana wachungaji wanaotambua wajibu wao. Zaidi ya hapa tutakuwa tunapotoka kusema yuko sahihi. Angekuwa kateuliwa na Rais hakika tungefulika mahakamani, kupima uadilifu wa mahakimu wetu, lakini hili ni kanisa, huu ni utaratibu haina maana kurumbana.
Mkuu, kwa heshima zote nakubali mchango wako. Lakini JF kama ilivyo Forum yoyote ni thinkTank japo kuna dalili kuwa Forum za Kijamii kama hii baadhi au wengi hawapendi habari za research kwani si rahisi wanajamii wote mkawa researchers. Kwamba Jamii hupenda habari za juujuu tu na mkiingia ndani basi undani huo hupachikwa jina malumbano.
Binafsi nimefuatiia kwa undani michango yote. Ninayaona majibu ya mkato, utani, serious, non-serious nk. Lakini cha msingi ni kwamba kuna watu wanafukua vitabu. Mtu anafukua kiasi kwamba hoja yake haijibiwi inabidi watu wanze kupinda hoja kwa sababu aidha hajaeleweka au wanaochangia wanaumbuka kwa sababu upeo uko nyuma.
Mimi nakubali kujifunza mengi. Ukweli ambao haujapingwa ni kwamba Milingo hatakuwa mlei na hoja hiyo imeshindwa kuthibitishwa. Waliojaribu wameishia kusema anafanana na mlei. Je hapo hakuna kujifunza. Mwaka jana ilitangazwa kwamba Padri Karugendo sasa anakuwa mlei kumbe sivyo. Hujaona hapo tumeelimika kwamba Karugendo hatakuwa mlei hata awe mdhambi kuliko dunia nzima.
HIvyo muhimu ni uelewa. Hakuna anayebisha matumizi mabaya ya dhamana aliyopewa Milingo. Ubishi wa msingi ulikuwa na kama sasa amekuwa mlei au la. Na kumbe ndani ya debate hii tumeona kuwa hata kanisa halijatamka kuwa Millingo kawa mlei. NI tafsiri ya wanailisoma jambo hilo, tena wanaolisoma kwa juujuu.
Tchao
Wakati mwingine kuchangia hoja ambayo ni 'technical' bila uelewa mzuri wa 'technicality' yenyewe kunaweza kuleta matatizo. 'Clerical status or loss of clerical status' ni lugha ya kisheria.
Mkuu Magobe T,
Nakuamini kwa jinsi unavyochokonoa mambo na una mchango mkubwa usije ukajiuondoa hata siku moja kwenye JF.
Ume-copy maelezo lakini hutatueleza ni wapi hatujaelewa. Kwa sababu maelezo tumeyasoma lakini hakuna hata nukta moja inayosema mtu kama Millingo sasa amekuwa mlei. Maelezo yanasema ame-loose clerical status. Hili halina ubishi kwani clerical status haikuelezwa kuwa ni upadri au uaskofu. Mtu mwenye clerical status ni lazima ni padri au askofu. Lakini si kila padri au askofu ana clerical status kama maelezo hayo maelezo yanavyosema kuwa Orders (sakramenti) hazifutiki.
Turudi kwenye point yetu kwamba hakuna mahala panapoonyesha kwamba Millingo au pdri anaweza kuwa mlei tena.
Sijaelewa kwa nini unahangaika na maelezo yote yale ukidai technicality wakati Katekism anapewa kila mkatoliki au mwanadunia yeyote aisome.
Suala hili ni rahisi sana. Katekism imelieleza na hatuna haja ya kulirudia. Hatuna ubishi na sheria kwa sababu nazo hakuna mahala ziliposema loss of clerical status inamfanya mtu awe mlei.
Mkuu, lete maelezo hata yajaze kurasa 1000 lakini hutapata hata nukta inayosema kuwa Padri au askofu anakuwa mlei. Hapo ndipo tunaposimamia. Ukipata uthibitisho kwamba padri au askofu hurudi kuwa mlei basi unastahili zawadi si kutoka kwa JF bali dunia nzima na mimi nitashiriki kukuzawadia.
Kieleweke inaelekea unapenda sana Katekism. Ni wapi kwenye Katekism palipoandikwa hayo unayosema kwamba upadri au uaskofu haufutiki.
Wakuu muwe mnaingia kwenye forum baada ya kusoma thread nzima.
Kuhusu suala la kifungu gani si lazima ajibu Kieleweki. Thread haikustahili kufika huku kote kwani ilipoanza ilitaja wazi kifungu 1583 cha Katekism.
Hii blah blah inayotokea hapa katikati haina maana yoyote. Hakuna fundi wa kuielewa Katekism kwani siku Katekism ilipozinduliwa (1992) hatukuambiwa kwamba Magobe T au Kieleweka ndiyo wenye utaalam wa kutufafanulia. Eti wao wanaita Technicality.
Kukaa kwetu kimya si kwamba sisi hatuisomi Katekism. Siajabu tunaisoma kuliko hao wawili.
Moderator, hii hoja inafanana na ile ya Upadri sakremanti isiyofutika. Umei-delete ile lakini hata hii inaendelea kwa lugha tofauti na inaelekea kulekule. Ondoa na hii tafadhali maana naona wachangiaji wanarudiarudia yaleyale na wakati Katekism tumeishaielewa na iko hapo juu na hata kabla ya kuja humu JF tunaijua.
Clerical state ina msingi wake katika ordination to the priesthood or episcopate. Kiini cha hii hali ya kikleri ni wajibu na haki zitokanazo na hayo madaraja ya upadre na uaskofu. Mtu (Padre au askofu) anaweza kupoteza wajibu na haki za daraja lake bila kupoteza daraja husika. Tendo hili la kupoteza haki na wajibu wa kipadre au kiaskofu ndilo linaitwa loss of clerical state au dimotion to the lay state. Hii ina maana kwamba padre/askofu anabaki na daraja lake lakini bila wajibu na haki zake. Kwa kuwa amepoteza haki na wajibu wa daraja husika huyu mtu anakuwa amebakiwa na haki na wajibu za kilei ambazo ni za kila mwamini mbatizwa. Na kwa kuwa anakuwa amebakiwa na haki na wajibu za kilei Tu basi padre/askofu huyo mbele ya macho ya Kanisa anahesabiwa kuwa ni mlei. Lakini kwa kuwa sakramenti ya daraja haifutiki ulei wake unakuwa si kamili. Ndiyo maana Katekismu inasema a validly ordained person "cannot become a layman again in the strict sense". Kumbe anakuwa ni mlei (kwa vile hana wajibu na haki za kikleri) lakini si mlei kamili (kwa vile ana alama isiyofutika milele ndani ya roho yake). Ndiyo maana katika hatari ya kufa anaweza kutoa sakramenti yenye kuhitaji mtu mwenye daraja takatifu. Hii ni kwa sababu yeye ni Padre/askofu milele hata kama katika hali yake ya sasa anaishi maisha ya kilei (haki na wajibu za kilei).Mkuu Magobe T,
Nakuamini kwa jinsi unavyochokonoa mambo na una mchango mkubwa usije ukajiuondoa hata siku moja kwenye JF.
Ume-copy maelezo lakini hutatueleza ni wapi hatujaelewa. Kwa sababu maelezo tumeyasoma lakini hakuna hata nukta moja inayosema mtu kama Millingo sasa amekuwa mlei. Maelezo yanasema ame-loose clerical status. Hili halina ubishi kwani clerical status haikuelezwa kuwa ni upadri au uaskofu. Mtu mwenye clerical status ni lazima ni padri au askofu. Lakini si kila padri au askofu ana clerical status kama maelezo hayo maelezo yanavyosema kuwa Orders (sakramenti) hazifutiki.
Turudi kwenye point yetu kwamba hakuna mahala panapoonyesha kwamba Millingo au pdri anaweza kuwa mlei tena.
Sijaelewa kwa nini unahangaika na maelezo yote yale ukidai technicality wakati Katekism anapewa kila mkatoliki au mwanadunia yeyote aisome.
Suala hili ni rahisi sana. Katekism imelieleza na hatuna haja ya kulirudia. Hatuna ubishi na sheria kwa sababu nazo hakuna mahala ziliposema loss of clerical status inamfanya mtu awe mlei.
Mkuu, lete maelezo hata yajaze kurasa 1000 lakini hutapata hata nukta inayosema kuwa Padri au askofu anakuwa mlei. Hapo ndipo tunaposimamia. Ukipata uthibitisho kwamba padri au askofu hurudi kuwa mlei basi unastahili zawadi si kutoka kwa JF bali dunia nzima na mimi nitashiriki kukuzawadia.
Clerical state ina msingi wake katika ordination to the priesthood or episcopate. Kiini cha hii hali ya kikleri ni wajibu na haki zitokanazo na hayo madaraja ya upadre na uaskofu. Mtu (Padre au askofu) anaweza kupoteza wajibu na haki za daraja lake bila kupoteza daraja husika. Tendo hili la kupoteza haki na wajibu wa kipadre au kiaskofu ndilo linaitwa loss of clerical state au dimotion to the lay state. Hii ina maana kwamba padre/askofu anabaki na daraja lake lakini bila wajibu na haki zake. Kwa kuwa amepoteza haki na wajibu wa daraja husika huyu mtu anakuwa amebakiwa na haki na wajibu za kilei ambazo ni za kila mwamini mbatizwa. Na kwa kuwa anakuwa amebakiwa na haki na wajibu za kilei Tu basi padre/askofu huyo mbele ya macho ya Kanisa anahesabiwa kuwa ni mlei. Lakini kwa kuwa sakramenti ya daraja haifutiki ulei wake unakuwa si kamili. Ndiyo maana Katekismu inasema a validly ordained person "cannot become a layman again in the strict sense". Kumbe anakuwa ni mlei (kwa vile hana wajibu na haki za kikleri) lakini si mlei kamili (kwa vile ana alama isiyofutika milele ndani ya roho yake). Ndiyo maana katika hatari ya kufa anaweza kutoa sakramenti yenye kuhitaji mtu mwenye daraja takatifu. Hii ni kwa sababu yeye ni Padre/askofu milele hata kama katika hali yake ya sasa anaishi maisha ya kilei (haki na wajibu za kilei).
Kwa hiyo clerical state is a legal concept. The sacrament of orders is a theological concept. The clerical state has the sacrament of orders as its base. The clerical state can be lost but NEVER the sacrament of orders which imprint an indelible character in one's soul.
Mkuu Magobe T,
Nakuamini kwa jinsi unavyochokonoa mambo na una mchango mkubwa usije ukajiuondoa hata siku moja kwenye JF.
Ume-copy maelezo lakini hutatueleza ni wapi hatujaelewa. Kwa sababu maelezo tumeyasoma lakini hakuna hata nukta moja inayosema mtu kama Millingo sasa amekuwa mlei. Maelezo yanasema ame-loose clerical status. Hili halina ubishi kwani clerical status haikuelezwa kuwa ni upadri au uaskofu. Mtu mwenye clerical status ni lazima ni padri au askofu. Lakini si kila padri au askofu ana clerical status kama maelezo hayo maelezo yanavyosema kuwa Orders (sakramenti) hazifutiki.
Turudi kwenye point yetu kwamba hakuna mahala panapoonyesha kwamba Millingo au pdri anaweza kuwa mlei tena.
Sijaelewa kwa nini unahangaika na maelezo yote yale ukidai technicality wakati Katekism anapewa kila mkatoliki au mwanadunia yeyote aisome.
Suala hili ni rahisi sana. Katekism imelieleza na hatuna haja ya kulirudia. Hatuna ubishi na sheria kwa sababu nazo hakuna mahala ziliposema loss of clerical status inamfanya mtu awe mlei.
Mkuu, lete maelezo hata yajaze kurasa 1000 lakini hutapata hata nukta inayosema kuwa Padri au askofu anakuwa mlei. Hapo ndipo tunaposimamia. Ukipata uthibitisho kwamba padri au askofu hurudi kuwa mlei basi unastahili zawadi si kutoka kwa JF bali dunia nzima na mimi nitashiriki kukuzawadia.
Wakuu muwe mnaingia kwenye forum baada ya kusoma thread nzima.
Kuhusu suala la kifungu gani si lazima ajibu Kieleweki. Thread haikustahili kufika huku kote kwani ilipoanza ilitaja wazi kifungu 1583 cha Katekism.
Hii blah blah inayotokea hapa katikati haina maana yoyote. Hakuna fundi wa kuielewa Katekism kwani siku Katekism ilipozinduliwa (1992) hatukuambiwa kwamba Magobe T au Kieleweka ndiyo wenye utaalam wa kutufafanulia. Eti wao wanaita Technicality.
Kukaa kwetu kimya si kwamba sisi hatuisomi Katekism. Siajabu tunaisoma kuliko hao wawili.
Moderator, hii hoja inafanana na ile ya Upadri sakremanti isiyofutika. Umei-delete ile lakini hata hii inaendelea kwa lugha tofauti na inaelekea kulekule. Ondoa na hii tafadhali maana naona wachangiaji wanarudiarudia yaleyale na wakati Katekism tumeishaielewa na iko hapo juu na hata kabla ya kuja humu JF tunaijua.
Oh! Ninachotaka kueleza hapa ni hiki: Je, nani amesema Milingo ni mlei: Kanisa Katoliki au wachangiaji? Baadhi ya wachangiaji wanaweza wasiwe na uelewa wa kutosha wa 'theological' au 'canonical jagons' (technical issues) ndiyo maana nikaleta hiyo communique na article ya canon lawyer ili kuonesha Kanisa linasema nini kwa mtu kama Milingo.
Kanisa linasema 'validly ordained minister' hawezi kurudia tena ulei. Hata hivyo, kutokana na sababu fulanifulani kubwa (grave reasons) 'validly ordained minister' anaweza kuondolewa 'clerical status' - 'faculties', 'rights' na 'privileges' za daraja. Na hii inafanyika kwa namna mbili:
1) Mhusika mwenyewe kuomba aondolewe akieleza sababu kubwa (laicisation) au
2) Mamlaka husika kuona kwamba mhusika mwenyewe baada ya kuwa ameonywa kuhusu mambo kadhaa makubwa ambayo ni kinyume na kazi yake na mafundisho ya Kanisa na amekaidi, baada ya muda fulani kupita, huwa mamlaka husika zinatakiwa zimwondolee hiyo 'clerical status'.
Mfano wake ni archbishop Milingo. Hii ina maana kwamba: kuanzia siku ilipotangazwa, Milingo hana tena 'clerical status' na chochote atakachofanya, hatafanya kwa jina la Kanisa Katoliki na pia kuanzia siku hiyo Milingo hatakuwa mmoja wa maaskofu halali wa Kanisa Katoliki (those in active ministry) - hatakuwa na ofisi ya kiaskofu, kidaraja na wala hataweza kuhudumia jumuiya yoyote iliyo chini ya Kanisa katoliki kama askofu Mkatoliki.
Kwa Kiswahili rahisi, Milingo kwa sasa siyo tofauti na mlei (kwa vile hajafukuzwa kutoka kwenye Kanisa) bali kwa maana ya kuwa hana majukumu ya kidaraja/kiaskofu - i.e hana 'clerical status'. Pengine hapajapatikana msamiati mzuri wa kumwita mtu kama yeye, kwani kukosa 'clerical status' kwa lugha ya kawaida ni kuishi kama mlei anavyoishi.
Ila kwa kuzingatia 'valid ordanation' yake, katika hatari ya kufa, Milingo anaweza kutoa baadhi ya huduma za kipadre kwa wahitaji. Ukisoma Canon Law, utaona ni huduma gani anaweza kuzitoa katika hali kama hiyo.
Hivyo, katika kujadili kwetu pengine tungesema toka mwanzo tunajadili hoja hii kutoka upande gani: wa sheria za Kanisa au uelewa wa kawaida wa watu? Na nadhani hata hao wanaosema Milingo sasa ni mlei wanasemea katika 'context' ya kukosa 'clerical status' - yaani, kwamba kwa kawaida mtu asiye na 'clerical status' ni mlei. Sijui utakuwa umenielewa kwa hili au bado?
Kwa hiyo, Milingo hana tena 'clerical status' ndani ya Kanisa Katoliki!