Askari wawili wauawa na majambazi Kongowe

Hii kitu ipo very well coordinated let's we hope this copycat wasijefanya ya westgate .RIP Askari ila mfanye kazi msikae kutupiga sisi CDM marungu tu
 
I received this pic from an unreliable souce whom said this was indeed the current situation then!
 

Attachments

  • 1427744140497.jpg
    1427744140497.jpg
    45.4 KB · Views: 1,781
da inasikitisha.nilikuwa napita na gari nikakuta risasi zinapigwa ovyo ovyo nikasimama na kushuka na kulala chini huku risasi zikirindima mpaka naondoka niliacha risasi zinapigwa tu sijui tunaenda wapi nchi hii inayosifika kwa amani
 
Hii haikubaliki tusianze kutoa lawama msiba wa taifa walikua wanalinda raia niko mkuranga nimesikia habari hizo
 
Wanatakiwa wawe chonjo mda wote,sasa mtu ana panga wewe una mtutu ,anakunyemelea vipi mpaka anakufikia?
 
Watu waanze kujifunza kuwajibika.... vifo vya polisi vinatosha sasa...... IGP na waziri wake wajiuzuru mara moja..... huu ni uhuni......
Hawa jamaa inabidi wawajibike kuonesha uwajibikaji kwa mwendo huu ikifika December batalioni nzima itakuwa imeshafyekwa
 
Na wapingwe tu nao waone raha Nazi yao kuwabambikia watu kesi za uongo siamini kama kweli majambazi ni watu tu wanalipa visasi maana policmm wamezidi kuonea watu wapingwe tu shenzy tipy
 
  • Thanks
Reactions: G3T
Kwa hari inayoendelea nchini ninashauri kila mmoja wetu aandae passport ya kusafiria na ya familia take yote, andaa Gari la kuitosha familia yako kwa wakati mmoja, tenga fedha za kwenda kuanzia maisha ukimbizini, machafuko ndani ya nchi yanaashiria Yale ya kenya
 
Huu ni upuuzi usiotaka msamaha..... Huu ni ujinga..... nimesikia taarifa hii sasa hivi Wapo Fm........ Kuna uzembe wa hali ya juu ya mfumo wa ulinzi wa hivi vituo vya polisi...... tumeshauri Polisi wawezeshwe kuwa na bastola ambazo ni nyepesi ku respond kuliko smg..... hata nchi za wenzetu Polisi wengi wanatembea na bastola ambazo ni nyepesi kutumia na hata katika wepesi wa kuhakikisha usalama wa raia wengine.
SMG zina mahali pake.....Polisi hawataki kubadilika na wamejaa uoga kujitetea kwa wanasiasa hata IGP mwenyewe tofauti na JWTZ...... hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi....

Unaijua smg ww?? Mfumo mzims wa jeshi la polisi inabidi ufumuliwe usukwe upya.
 
Back
Top Bottom