Siwezi kukubali propaganda hizi. Yaani serikali iamue haswa kumteka na kumuua Ulimboka ndo ifanye madudu hayo, kama ingekua ni serikali mambo haya yangekuwa kimyakimya. Mimi nahisi ni wenyewe kwa wenyewe hawa, walihisi Ulimboka anawageuka kwa kuisikiliza Serikali, ndo hasira zao wakafanya hiyo issue ya kijinga