Gangi Longa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 275
- 135
that is disgusting for sure! nothing of that sort should be accepted in any civilized community
ONYO: Kuna baadhi ya sehemu ya hii video zinatisha. Bonyeza ukijua umeishaonywa.
LiveLeak.com - Video shows Nigeria 'executions'
Hivi kwanini kila kukicha ni mauaji ya waislamu,ughaidi waislamu,maandamano waislamu,mahakama ya kadhi waislamu yaani wanaonyanyaswa hapa duniani ni wao tu!please embu wekeni mambo yenu sawa jamani mie sipendi kuongelewa ninyi tu kila kukicha!mungu hapendi hivyo!jitahidini tuishi kwa amani kama enzi za mwalimu mbona waislamu waliosoma hawana tabia kama hizo!mimi nipo uarabuni muscat lakini kupo shwari sana yaani waislamu na wakristo tunaishi kwa raha kabisa na kuheshimiana!na hakuna malalamiko!
Nenda kwenye State husika, utaelewa what they did hawa B H.
Anyway, I don't think a killer needs a trial? The beheaded people is more than tangible evidence.