Ikoko
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,101
- 3,034
Demu wake alikuwa jimama flani lililokuwa linamiliki Mambo club..Mara ya mwisho naonana na 76 ilikuwa 2003 nikiwa Kahumba Morogoro
Demu wake alikuwa jimama flani lililokuwa linamiliki Mambo club..Mara ya mwisho naonana na 76 ilikuwa 2003 nikiwa Kahumba Morogoro
Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.
Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.
Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.
Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
Ni matumizi mabaya ya pesa.Kifo kipo lakini sio cha kuchongea jeneza sababu mtu hujui utafia wapi. Kuna wale MV Bukoba meli ilizama wengine hadi leo hawajapatikana, kuna walioungua moto malory ya mafuta yalipolipuka miili ikaungua kiasi mtu.hatambuliwi, Ndege ya Malyasia ilipotea na abiria wote hadi leo miili yao haijawahi kupatikana irudi kuzikwa kwao
Sidhani kama ni sahihi kujijengea kaburi na jeneza sababu binadamu huwrzi jua kifo utakutana nacho wapi na kitakuwaje.
Nilimsikia siku nyingi kuwa alikuwa kiboko ya majambazi lakini inasemekana alikuwa anawatanguliza hata some innocent suspectsHuyo nasikia aliua sana kipindi chake ,ilo jina la sabasita means ni NJUGU hizo alizokuwa anamiminia watu.
Ni sahihi atafutiwe matibabu sababu hapo anawaza tu kufa aweza jiua.Ni kama kapoteza matumaini ya kuishi kabisa awaza siku gani ataondoka.Anaona dunia kama ni katili kwake isiyofaa kabisa kwa yeye kuishi.Kichwani kajaza hallucinations za dunia katili sana kwake.Huyu ana matatatizo ya afya ya akili.Nduguze wamshauri aende hospitali ili aanze kupata tiba
Saba sita ni namba zake za mwanzo za ajira na si vinginevyoHuyo nasikia aliua sana kipindi chake ,ilo jina la sabasita means ni NJUGU hizo alizokuwa anamiminia watu.
Ukiingia ndani ya polisi ndio utajua hayo kuwa kuna ofisa na askari wenyewe huwa wanajiita RANK and FILEHata akiwa afisa ,haachi kuwa askari.
Hahahahha damu damu damu, nadhani nimeelewekaHisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.
Alipatia umaarufu kwa "kutumika" now he's lonely and confused. Askari wengine wajifunzeKama aliua basi damu inamnukia.
Huyo nasikia aliua sana kipindi chake ,ilo jina la sabasita means ni NJUGU hizo alizokuwa anamiminia watu.
Kaua Sana kwa wale tuliokulia Moshi na Arusha tunamjua Sana ni katili Sana
Nilimsikia siku nyingi kuwa alikuwa kiboko ya majambazi lakini inasemekana alikuwa anawatanguliza hata some innocent suspects
Astaghfurullah.Huyo mtu kama alikuwa hana hatia, atamsumbua sana.
Hata Cain alipomuua Abel, damu ya Abel ilimlilia Mungu hadi Mungu akaamka na kumuuliza Cain umemfanya nini nduguyo, na yuko wapi?
Nasikia enzi hizo R chuga kuna uhalifu inasemekana wahalifu alikua anaruka nao utafikiri simba yupo kwenye champions league.7676 ni namba yake ya jeshi.
Wala hakuwa mbaya kama mnavyo fikiria. Ila tangu ujana wake ni mtu wa masifa. Ali anza kazi Arusha mjini.