Asilimia kubwa ya shule za Tanzania, serikali imeshindwa kuhakikisha wanakula mchana, matokeo yake mzigo huo wamebebeshwa wazazi

Masikio Masikio

JF-Expert Member
Apr 12, 2023
1,840
3,378
Katika mawaziri wa hovyo Bashe ni mmoja wapo unapokataa msaada na kusema tunaweza swali la kumuuliza kwanini mpaka leo shule nyingi za msingi na secondary serekali imeshindwa kuhakikisha wanakula mchana bali huo mzigo wamepewa wazazi wachangie.

Hii nchi tuache siasa za hovyo kama anazofanya bashe msaada umekuja serekali ingejiridhisha kitaalamu kama mchele unafaa au haufai na sio kutumia propaganda.

Kuna watu huku wanapinga kwenye huo msaada ila ndo ndo wa kwanza kugoma kukataa kuchangia watoto wasile alafu wakija misaada wanakataa.

Kama ingekua ni rahisi hivyo marekani kutudhuru sisi wafrika basi wangeanza na dawa sababu dawa karibia zote zinatoka western countries hata zile za india ni makampuni ya india yamepewa tu kibali na nchi za western zitoe copy.
 
Kuna watu huku wanapinga kwenye huo msaada ila ndo wa kwanza kugoma kukataa kuchangia watoto wasile alafu wakija misaada wanakataa
 
Kuna watu wanenepa na wanapendeza ARV kila siku kutoka kwa wamerakan ila ndo wanatokwa na povu juu ya mchele na marekani

Siiteti marekan ila kabla hujampinga jaribia kufikiria kwa upana
 
Kama serikali imeshindwa kulisha wanafunzi wake shuleni iombe msaada kwa wamarekani walete mchele, maharage, mahindi na mafuta ya kupikia kupitia shirika lao la USAID, aid from american peoples. Au waombwe wachina na watailand wana michele mingi wale
 
Kama serikali imeshindwa kulisha wanafunzi wake shuleni iombe msaada kwa wamarekani walete mchele, maharage, mahindi na mafuta ya kupikia kupitia shirika lao la USAID, aid from american peoples. Au waombwe wachina na watailand wana michele mingi wale
Mpaka sahivi serekali imeshindwa waje na mpango mkakati wa kuhakikisha wanafunzi wanakula mchana waachane na siasa za mitandaoni.
 
Back
Top Bottom