Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Hivi kutakua na usalama kwa harakati za kukomboa wasanii ikiwa huyu mama ataingia madarakani? . Navyotambua huyu mama ana social life fulani na je uswahiba na kina Ruge haupo , ukizingatia Ruge anavyojua kujipendekeza.kwa mtizamo wangu kina Ruge watapeta kwa miaka 14 mingine ijayo.