CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,045
Mtambuzi, unaweza kuandika kitabu kizuri sana cha review ya imact ya mahusiano mabaya na athari kisheria na kisaikolojia... hizi cases zitatusaidia ku-cement athari mkuu. Nakumbuka nilikua primary, and i had to go stendi ya basi kumnunulia baba magazeti enzi hizo tulikua tunayapata kwa foleni na kugombania, ili tu asome hii kesi ya mkwizu....
I am touched!!
kila napokuwa bored huwa naanza kuchimbua archive ya jf, humu kuna treasure ya kutosha. miaka hiyo mimi nilikuwa primary pia, mzee alikuwa akiletewa magazeti ya kila siku ofisini, akirudi jioni ni kumendea tu akichukua hili mi nachukua lile, most of the time tulikuwa wawili tu hivyo nyumba nzima kimyaa! mkuu Mtambuzi, haujapakua zingine
Last edited by a moderator: