Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Waziri Sofia Simba alisema hi majuzi kuwa safari hii wanataka rais mwanamke.
Hivi kuna mtu bado anaweza kusikiliza maoni ya Sofia Mnyama? Wenye busara walikwisha sema akili zake zinafikiri uloda tu mida yote.