Nadhani halazimishi mtu kutumia lugha yoyote wakati wa kuzungumza ,kwahiyo nadhani pia huu ni utashi wa mtu binafsi katika kuamua salamu gani awape watu gani?
Kama wewe hupendi kusema "Asalam alykum" basi sema "Shalom" au "Mambo" tu inatosha.
Tuache ku-complicate the uncomplicated
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.