Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 2,916
- 3,758
spare my ribs mkuu😂😂😂Hapo angewavesha tisheti na kofia, ukiulizwa unawaambia wajumbe wametoka Hanang
spare my ribs mkuu😂😂😂Hapo angewavesha tisheti na kofia, ukiulizwa unawaambia wajumbe wametoka Hanang
Hawa jamaa wa ethiopia hawajielewi , kwanini wasingekuwa wanasafiri wawili wawili kutumia mabasi mpk tunduma au kasumulu? Nasafiri sana ila sioni mabasi ya nyanda za juu kusini yakikaguliwa njiani kuangalia utaifa wa abiria.Mtanzania Edward Erihard (31) Mkazi wa Dodoma anashikiliwa na Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kusafirisha kinyume na sheria Wahamiaji 20 Raia wa Ethiopia.
Akiongea Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Manyara ACP Lucas Mwakatundu amesema tukio hilo limetokea March 23 2024 ambapo gari hilo limekamatwa katika kizuizi barabara ya Arusha Babati eneo la Minjingu likiwa na Wahamiaji ishirini Raia wa Ethiopia kwenye gari namba T.774 BDL Land Cruiser likiwa na bendera ya Chama cha Mapinduzi CCM.
“Gari hili V8 lilikuwa na Bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenye upekuzi tulipoona sura tofauti na Watanzania ilibidi tuweke gari pembeni na baadae kuwashusha tukakuta wapo Wahamiaji 20 kwenye gari V8 na wote uelekeo wao ni kusini mwa Afrika wakitokea usawa wa Arusha, Dereva wa gari hili ni Mkazi wa Dodoma tunamshikilia mpaka sasa na kesho tunatarajia kuwakabidhi Uhamiaji”
Chanzo: Ayo TV
Wakimbizi na wahamiaji haramu tofauti yao nnWauza Unga wengi wameacha hiyo biashara maana kifungo ni kirefu sana
Ila kuvusha wakimbizi ni
a slap on the wrist
Na inalipa kweli
Kuna wanaolipa safari moja mpaka $30,000
Hiyo walikuwa wanaenda dodoma then iringa kupitia mtera to mbeya ...hapo watachagua wavuke tunduma au kasumulu kuingia zambia au malawiAjali kazini, kijana mdogo kabisa daah. Safari ilikua msumbiji hiyo.
nilichoandika ni katika ujumla 🐒imagine ingekua ni gari ya CHADEMA, ungeweza kuandika hivi hivi? Ungesikia kesho msajili wa Vyama ametoa barua kwa CHADEMA kujieleza.
Kwa africa ,wanawake wa kihabeshi ndio wanaongoza kwa uzuri aiseeWahabeshi wana maisha magumu sana. dada zao wanajiuza hapa nchi niliyopo.
Nani atoe pesa hiyo...hapo safari utakuta ni dola 200-300Sana angetoboa hapo siyo mwenzetu ndio maana utajiri una siri nzito sana hao wapo 20 kila kichwa minimum usd 2000 maana yake alikuwa anapiga 100m kama amesimama
Yeah, lazima asimame kidete hawezi kukubali wezake wanyonyolewe manyoya huku anaona.Balaa mi sinipo hapa Arusha, inalipa sn sema sahivi wasomali hawasumbuliwi sababu ya makamu wetu na yule Waziri
tatz sio wasafi chini na wanawahi kuzeeka vibayaKwa africa ,wanawake wa kihabeshi ndio wanaongoza kwa uzuri aisee
Kweli kabisa ndugu.SIO KWELI
Hivi kwani wanazinguliwa wakiomba visa nakuingia SA kwa uhalali?mana pesa yanayo mbonaWauza Unga wengi wameacha hiyo biashara maana kifungo ni kirefu sana
Ila kuvusha wakimbizi ni
a slap on the wrist
Na inalipa kweli
Kuna wanaolipa safari moja mpaka $30,000
Ni sawa na mbongo unaooenda kuomba visa ya USA au UK!...wanajua kabisa kuwa wengi wa watanzania wakienda huko hawarudi makwao!! Na wao hawataki nchi zao zijae watu wasiokuwa na faida nao.Hivi kwani wanazinguliwa wakiomba visa nakuingia SA kwa uhalali?mana pesa yanayo mbona
Kwanza South Africa kwa Ethiopians unapewa visa ukifikaHivi kwani wanazinguliwa wakiomba visa nakuingia SA kwa uhalali?mana pesa yanayo mbona