si mkutano wa chadema leo!
Thobias Andengenye ataondosha amani ya Geneva of Africa.
Thobias Andengenye ataondosha amani ya Geneva of Africa.
Sasa watampiga nani wakati watu hawana nia ya kufanya fujo?Ni kweli kabisa, wanapita katika viunga vya mji wa AR ... FFU wakiwa katika fullu jezi za kupambana !!!! Yaani nikumaanisha hali si shwari gari la maji ya kuwasha, mabendera mekundu katika magari ya FFU, ngao , mabomu ya machozi viunoni na mavifaa kibao ......!!!!!
Vijana wa Andengenye wako tayari kwa mapambano na amri ameshaitoa tayari .......!!!!!! :A S-danger::A S-danger:
Polisi hawajui kazi yao
Polisi hawana elimu (zaidi ya ile form four failure)
Polisi wanapenda sifa za kijinga
Waliowatuma hawajui pia kazi yao na wapo kwa kulinda maslahi yao
Kweli tutategemea jema hapa?
Ya nini wazunguke na magari yao ya ajabuajabu, na mavazi ya kiroboti mitaani?
Ande ameletwa kufanya kazi maalum, na ndio hiyo anayo ifanya.