Kwakweli rais akifanya hivyo nitamsifu sana sion sabb ya kutomtunukia zawadi inayomstahili, kunyongwa hadi kufa maana kumuweka gerezani naona kuwa si adhabu stahikiNaamini huyu mpuuzi atatunikiwa hati ya kwanza ya kifo kusainiwa kwa mkono wa JPM. Binadamu wa aina hii ana faida au sababu gani kuachwa aishi. Kabisa mtu unakosa the least sense of humanity? Dah!
Tena adhabu yake itangazwe hadharani kwamba kahukumiwa kunyongwa..na akinyogwa tuambiwe watu wajue wajifunze...wakifanya kimya kimya watu watahis utani mtu katupwa tu jela...Hivi binadamu wa aina hii anastahili kufungwa kweli? Mimi kwa upande wangu ninaona adhabu anayostahili ni kuninginizwa kichwa chini miguu juu mpka anakufa. Kumkata kumkata miguu na mikono na kumuachia ili iwe fundisho na kwa wengine wenye mawazo ya kufanya vitendo vya kikatili kama hivyo. Inaumiza sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya vijana kukaa idle inachangia sana kuleta uovu.Mapicha ya kihindi hayajaanza leo... Huyo ana akili mbaya tu. Sijui ni ugumu wa maisha watu wanatafuta shortcuts au ndio ile wahenga wa Ulaya wanasema "an idle mind is a workshop of the Devil"... Hatujishughulishi tunataka tukae sehemu halafu tuletewe pesa. Kuna watu inabidi washukuru sana mi sio judge, ningekuwa na hukumu za ajabu sana.
"A voice of one calling in the wildernes"
Hakuna hata mwanadamu ambaye hili halita mtoa machozi.
wanyongwe hawana MAAANA HAO.Kuna watu huwa wanasema hukumu ya kunyonga haifai ni ukatili ,ukiukwaji wa haki za binaadamu
Je mtu kama huyu akihukimiwa kunyongwa utamuoneaje huruma
Wengi haijawakuta hii nyie mnaotetea hukumu ya kunyongwa
Sent using Jamii Forums mobile app