laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,734
bado mimi nawalaumu sana polisi kwa tukio hili haikupaswa kabisa habari za utekaji zianze kusambaa mitaani wakati watekwaji bado wanashikiliwa na mtekaji.....wangemuwekea mtego wangemnasa bila madhara kwa hao watekajiPolisi tena wala usiwataje ataa .huyu kijana mtekaji ambae Leo ni muaji alikuwa anaishi ndani nyumba moja na Polisi wanakula na kulala .sana sana ni Mwenye nyumba ndio alimshtukia maana alianza uwizi Wa kuku na pesa za majirani ,Polisi alivyojulishwa kwamba kijana mwizi .akawajibu waongeze ulinzi Wa vitu vyao na kuku,