Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,847
- 15,262
Wanakijiji wa kijiji cha kiwawa kilichopo Arumeru wamelazimika kuvaa ndoo na kofia ngumu vichwani kufuatia mawe yanayorushwa usiku na mchana pasipo kujua mawe hayo Yanatokea wap.
Aidha wanakijiji hao wameshindwa kufanya shughuli zao za Kila siku zikiwemo za kujiingiza kipato kutokana na hofu ya kupigwa na Mawe hayo ambayo yamekuwa yakirushwa usiku kucha hadi mchana.
Baadhi ya wanakijiji wamejeruhiwa na. Mawe hayo kichwani na sehemu nyingi za mwili.
Hasara nyingine ni mawe hayo kutoboa mabati pindi yarushwapo, kuharibu viio vya milango na madirisha.
Hadi muda huu bado ufumbuzi wa tatizo hilo halijatatuliwa na wala kujua mawe hayo Yanatokea wapi.
Aidha wanakijiji hao wameshindwa kufanya shughuli zao za Kila siku zikiwemo za kujiingiza kipato kutokana na hofu ya kupigwa na Mawe hayo ambayo yamekuwa yakirushwa usiku kucha hadi mchana.
Baadhi ya wanakijiji wamejeruhiwa na. Mawe hayo kichwani na sehemu nyingi za mwili.
Hasara nyingine ni mawe hayo kutoboa mabati pindi yarushwapo, kuharibu viio vya milango na madirisha.
Hadi muda huu bado ufumbuzi wa tatizo hilo halijatatuliwa na wala kujua mawe hayo Yanatokea wapi.