Viongozi wa Arusha Press club tumeshindwa kuwaelewa. Tumekaa tukisubiria wote kufanya maandamani ya AMANI kupinga mauaji ya kikatili aliyofanyiwa daudi mwangosi. Tumeshangaa wamekuja na taarifa kutoka POLISI kuwa maandamano yamezuiliwa kwa sababu darasa la saba wanajiandaa na mitihani. Jamani upuuzi gani huu.......!!
Tatizo ni viongozi wa Arusha Press club waoga na wengi ni waganga njaa wa mfumo wa kifisadi. Leo ni kwa mwangosi kesho.......??
Tatizo ni viongozi wa Arusha Press club waoga na wengi ni waganga njaa wa mfumo wa kifisadi. Leo ni kwa mwangosi kesho.......??