Sikuamini masikio yangu nipomsikia mheshimiwa mbunge wa arumeru nasari akitamka kuwa kaskazini itajitenga serekali isipokua makini. lakini mi naona nasari haya maneno hayajamtoka bahati mbaya ukifuatilia historia utakumbuka babu zake nasari walienda kuomba uhuru wao wenyewe yaani kua nchi ya meru. walikua hawataki serekali ya tanganyika na mheshimiwa mbowe nae ndiye supporter mkubwa wa majimbo. mi personally naona kauli Kama hizo lazima zikemewe sana na wabunge wa kaskazini wapate elimu kua hatakama waasisi wa chadema wako kaskazini haimaanishi Chama ni Mali ya kaskazini pls katika ukombozi lazima tuelezane ukweli!
Sikuamini masikio yangu nipomsikia mheshimiwa mbunge wa arumeru nasari akitamka kuwa kaskazini itajitenga serekali isipokua makini. lakini mi naona nasari haya maneno hayajamtoka bahati mbaya ukifuatilia historia utakumbuka babu zake nasari walienda kuomba uhuru wao wenyewe yaani kua nchi ya meru. walikua hawataki serekali ya tanganyika na mheshimiwa mbowe nae ndiye supporter mkubwa wa majimbo. mi personally naona kauli Kama hizo lazima zikemewe sana na wabunge wa kaskazini wapate elimu kua hatakama waasisi wa chadema wako kaskazini haimaanishi Chama ni Mali ya kaskazini pls katika ukombozi lazima tuelezane ukweli!
Sikuamini masikio yangu nipomsikia mheshimiwa mbunge wa arumeru nasari akitamka kuwa kaskazini itajitenga serekali isipokua makini. lakini mi naona nasari haya maneno hayajamtoka bahati mbaya ukifuatilia historia utakumbuka babu zake nasari walienda kuomba uhuru wao wenyewe yaani kua nchi ya meru. walikua hawataki serekali ya tanganyika na mheshimiwa mbowe nae ndiye supporter mkubwa wa majimbo. mi personally naona kauli Kama hizo lazima zikemewe sana na wabunge wa kaskazini wapate elimu kua hatakama waasisi wa chadema wako kaskazini haimaanishi Chama ni Mali ya kaskazini pls katika ukombozi lazima tuelezane ukweli!
Hili lipo wazi ya kwamba hawa polisisisiem wa hapa A town hawaachi kufanya hivyo.
Ila nawahakiki ya kwmb hawa hawana sumu hakika.
Wanajaribu kufurahisha mioyo yao iliyojaa dhambi ya damu ya watu wasio na hati!
Kama utapata mapya zaidi usisite kutujuza ila nina imani hawana sumu tena hawa.
Hivi Lusinde na Benjamin Mkapa wataitwa kuhojiwa lini kwa kauli zao mbovu za Matusi na kujifanya wanazijuwa Familia za watu wengine kule Arumeru?
Wakati mwingine watawala wetu wanatakiwa wawe na ngozi ngumu. Wako too sensitive. Joshua Nassari alisema ikifika Jumatatu (kama sikosei) bila ya watu waliomuua mwenyekiti wa CHADEM
A USA River kukamatwa basi rais Kikwete hatokanyaga Arusha. Lakini nadhani hili atakuwa amepitiwa maana Nassari hana uwezo wa kufanya hivyo. Hata hivyo mbona hawa polisi hawakumiita Tendwa wakati aliposema washiiri (wazee wa Kimeru) wamekataa Lema asikanyage Meru?
Kwa upande wa Heche nadhani itakuwa kauli yake kwamba baadhi ya mawaziri kwenye hii reshuffle ya juzi ni marafiki zake Ridhwani.
Hivi Lusinde na Benjamin Mkapa wataitwa kuhojiwa lini kwa kauli zao mbovu za Matusi na kujifanya wanazijuwa Familia za watu wengine kule Arumeru?
Uwasilishaji wa hoja unaweza kumfanya mtu asielewe nini kilijiri.
Watu mliokuwepo ndo mnatakiwa kuandika kilichojiri kwa mapana.
I stand to ne corrected! Angalia nilichonukuu awalo, kina substance? Wapi imeonyeshwa kuwa machinga waliambiwa wanaadhibiwa kwa kuuchagua upinzani (Lema)? Yani, presentation inamfanya mtu moja kwa moja aone Nassari ana makosa makubwa (kama ikielezwa kwa ufupi sana)
Huyu na Chagonja wajiandae kukimbilia Exile 2015.Na sisi tunawavumilia mno polisi wa aina hii.Tupange mkakati ambao ni radical kabisa kuhakikisha hadi tunaingia ikulu polisi hawatumiki tena kisiasa
Namtafuta Heche kwenye simu simpati ili ku-comfirm taarifa hizi.
Mbowe anatakiwa kumweka kijana huyu chini na kumfundisha namna nzuri ya kufanya siasa. Kuwa mbunge kusimpe kiburi akafikia hatua ya kutoa kauli kama hizi.
Well, kama kayaongea haya waziwazi, si vibaya akahojiwa tena akakemewa na kuachiwa. Atajifunza endapo atapewa karipio kali.
Tusishabikie kauli kama hizi, hazifai katika jamii yetu. Mtu anajitangazia utawala!? Mtu anahamasisha uvunjwaji wa sheria na kanuni za Halmashauri?
Labda kama aliongea tofauti na haya
Kwa upande wa Nassari aliwataka wamachinga kuendelea na biashara zao bila kuogopa vitisho vya halmashauri kuwataka Jumatatu waondoke mitaani.
Nassari alisema Atatoa Amri ya kumzuia J.K Kukatiza Arusha kwani yeye Ni Raisi wa Arusha Na Lema ni Waziri Mkuu.
Dogo Janja na vijana 500 kama yeye wangepatikana wangeshatangaza Jamuhuri ya kaskazini. Nukuu ya dogo NMC jana