Arusha: Nassari, Heche na Bananga wahojiwa na polisi

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
Taarifa iliyovuja toka Polisi Tanzania inaeleza kuwa viongozi hao walili wa CHADEMA, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Ndg John Heche, Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari na aliekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Vijana, Ndg Ally Bananga aliehamia CHADEMA rasmi jana wameitwa kuhojiwa na Polisi katika maswala yanayohusiana na Mkutano wa chama hicho jana Katika viwanja vya NMC Jijini Arusha.

Hata hivyo mto ataarifa hajaweka wazi hasa ni mahojiano kwa ishu ipi specifically! Mtoa taarifa anahisi huenda ikawa ni ufafanuzi kuhusiana na kauli mbalimbali zilizozungumzwa na viongozi hao katika mkutano wa jan katika hotuba zao

Tutajuzana kinachondelea zaidi...
 
Hili lipo wazi ya kwamba hawa polisisisiem wa hapa A town hawaachi kufanya hivyo.

Ila nawahakiki ya kwmb hawa hawana sumu hakika.
Wanajaribu kufurahisha mioyo yao iliyojaa dhambi ya damu ya watu wasio na hati!

Kama utapata mapya zaidi usisite kutujuza ila nina imani hawana sumu tena hawa.
 
Dola inakosea kuwahoji , maana wanapandisha chati buree,, ? wangeachwa kama mzee wa Kiraracha .... hapo dola inachemsha hapo tu?,,,, wanajenga umaarufu wa burreee tu.
 
Taarifa iliyovuja toka Polisi Tanzania inaeleza kuwa viongozi hao walili wa CHADEMA, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Ndg John Heche, Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari na aliekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Vijana, Ndg Ally Bananga aliehamia CHADEMA rasmi jana wameitwa kuhojiwa na Polisi katika maswala yanayohusiana na Mkutano wa chama hicho jana Katika viwanja vya NMC Jijini Arusha.

Hata hivyo mto ataarifa hajaweka wazi hasa ni mahojiano kwa ishu ipi specifically! Mtoa taarifa anahisi huenda ikawa ni ufafanuzi kuhusiana na kauli mbalimbali zilizozungumzwa na viongozi hao katika mkutano wa jan katika hotuba zao

Tutajuzana kinachondelea zaidi...

Hao polisi wangekuwa kila mara wanawaita wezi na mafisadi kuwahoji na kuwachukulia hatua zamani ningerudisha kadi yangu ya CDM. hawa wezi na mafisadi wanaoitafuna nchi hii ndiyo wanataka kutupeleka kwenye vita ya sisi wenyewe kwa wenyewe.

Lakini badala yake ni polisi na 'umahiri' wao wa kutafsiri masuala ya siasa, hasa kauli za viongozi wa upinzani, sijui wamepata mafunzo wapi ya kutafsiri kauli hizo. Pambaff kabisa!!!!
 
Duh! -- Ile nyomi ya msimamo pale NMC iliwafanya mabwana zao kuweweseka kwani chama cha magamba wafute kabisa wazo la kukusanyisha umati kama ule -- popote pale hapa Tanzania!

Au Tusema yule dogo Nchimbi kaanza na gia kubwa? Atakwama tu asipoangalia!
 
Hivi Lusinde na Benjamin Mkapa wataitwa kuhojiwa lini kwa kauli zao mbovu za Matusi na kujifanya wanazijuwa Familia za watu wengine kule Arumeru?
 
Andengenye anataka kuondoka Arusha akiwa amefanya booking mapema katika serikali ya chadema baada ya kusimamia kwa ukamilifu mauaji ya wananchi wasio na hatia January 5, 2011.

Hata kama ccm watasaidiwa na policcm kukabiliana na Chadema ukweli ni kwamba hawataweza kamwe kushinda nguvu ya umma. Bila shaka jana nyomi iliyomwagika tahrir square ya Arusha ilikuwa salamu tosha kwa ccm na vibaraka wake wote.
 
Duh! -- Ile nyomi ya msimamo pale NMC iliwafanya mabwana zao kuweweseka kwani chama cha magamba wafute kabisa wazo la kukusanyisha umati kama ule -- popote pale hapa Tanzania!

Au Tusema yule dogo Nchimbi kaanza na gia kubwa? Atakwama tu asipoangalia!
Huyu dogo karudishwa kwenye "kazi" ya baba yake. Mnategemea nini? Mnajua kuwa baba yake alikuwa Polisi na amelelewa kipolisi?
 
Hii habari kama ni tetesi ijulikane ni tetesi.

Polisi nao wamechoka kutumiwa kama kinga na ccm. Huenda wamewaita ili polisi wajiunge na CHADEMA. Yote yanawezekana
 
Policeccm Wehu tu. Wanawalinda wezi na mafisadi huku wakiwakamata watetezi wa watz na kuwabambika kesi zisizokuwa na kichwa wala miguu. Pambaaf kabisa.
 
Andengenye anataka kuondoka Arusha akiwa amefanya booking mapema katika serikali ya chadema baada ya kusimamia kwa ukamilifu mauaji ya wananchi wasio na hatia January 5, 2011.

Hata kama ccm watasaidiwa na policcm kukabiliana na Chadema ukweli ni kwamba hawataweza kamwe kushinda nguvu ya umma. Bila shaka jana nyomi iliyomwagika tahrir square ya Arusha ilikuwa salamu tosha kwa ccm na vibaraka wake wote.

Taarifa ni kwamba nassari atafunguliwa kesi ya uhaini kwa kauli yake kuwa yeye ni rais wa jamhuri ya Meru na kwamba atamzuia kikwete kuingia arusha iwapo serikali itaendelea na mpango wake wa kuwahamisha wamachinga katika mji wa arusha. babanga atafunguliwa mashitaka ya kumdhalilisha mkuu wa nchi baba ritz
Ni mimi kachero mkuu wa polisi!
 
Dola inakosea kuwahoji , maana wanapandisha chati buree,, ? wangeachwa kama mzee wa Kiraracha .... hapo dola inachemsha hapo tu?,,,, wanajenga umaarufu wa burreee tu.

Mkuu hapa kuna mambo mawili. Political move na utetezi wa unga. CDM wapo kwenye political move hivyo kutamka vile ni kuongeza coverage na kupata headings, ambazo ni msingi wa publicity. Upande wa polisi wanataka kuwaonesha wanaowatumikia kuwa wanafanya kazi, hivyo kuwahoji ili kupata maelezo yao ni utaratibu wa kawaida kabisa na inatakiwa baada ya maelezo yao wafunge file. Hata USA kuna mtu anaitwa 'NUGENT' alitoa kauli ya kuwakata vichwa Obama, Clinton na majaji wa mahakama ya juu kabisa jukwaani. Secret service walimhoji na kufunga kesi kuwa he is not a threat. Nafikiri unatakiwa kuangalia vyote intent na si speech tu.

Ila polisi nafikiri wanfanya kazi yao. Ila nitaona wanaingia kwenye siasa kama watajifanya kuyakuza mambo haya ambayo tayari yaliisha tolewa ufafanuzi na Mbowe palepale.
 
Andengenye anataka kuondoka Arusha akiwa amefanya booking mapema katika serikali ya chadema baada ya kusimamia kwa ukamilifu mauaji ya wananchi wasio na hatia January 5, 2011.

Hata kama ccm watasaidiwa na policcm kukabiliana na Chadema ukweli ni kwamba hawataweza kamwe kushinda nguvu ya umma. Bila shaka jana nyomi iliyomwagika tahrir square ya Arusha ilikuwa salamu tosha kwa ccm na vibaraka wake wote.

Huyu na Chagonja wajiandae kukimbilia Exile 2015.Na sisi tunawavumilia mno polisi wa aina hii.Tupange mkakati ambao ni radical kabisa kuhakikisha hadi tunaingia ikulu polisi hawatumiki tena kisiasa

Namtafuta Heche kwenye simu simpati ili ku-comfirm taarifa hizi.
 
Ndugu yetu Adengenya, pole pole na kazi; punguza chuki dhidi ya CHADEMA kwani kuna leo na kesho.
 
Back
Top Bottom