KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Mhh, ina maana alikuwa anawashawishi wabakaji?Napinga Sana ubakaji ila mama aliniambia hivi siku moja: ukipita uchochoroni usiku na vibaka wakakukaba kabla hujawalaumu hao vibaka jilaumu wewe kwa kupita njia hatarishi!
Kwa life style ya Huyo marehemu(r.I.p) ya kuacha tu mapaja nje, kujiweka karibu na vidume, nk. kuna mchango wake mkubwa wa kubakwa kwake!