SEAL Team 6
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 655
- 118
Sikuwa na shaka na hukumu hiyo, kwani ushindi ulikuwa WAZI. Tunasubiri hatima ya MEYA Jiji la Arusha. Hii ni aibu kwa Waziri Mkuu Pinda, Mkuchika, Nape pamoja na Chatanda.
...je, yawezekana Arusha ikawa (ignite) chanzo cha moto wa mabadiliko ya taifa hili la Mashariki mwa Afrika??????
hakuna kitufe cha Thanks...hahahahKenge havui gamba labda achunwe ngozi.
Hamtutishi hata kidogo.kushinda kesi ni kitu cha kawaida sana tu na labda hata mmetoa rushwa ili mshinde.ngoja tuchunguze.
<br /> <br / usijali HABARI ZITAANGALIWA 2 HT KWA KUWASHA MAJENERETAIkifika Saa Mbili usiku wazime na umeme wao kama kawaida yao tusipate habari yoyote!! Maana ndo technic wanayotumia siku hizi.
Hamtutishi hata kidogo.kushinda kesi ni kitu cha kawaida sana tu na labda hata mmetoa rushwa ili mshinde.ngoja tuchunguze.
Najua machalii walivyo na mzuka....tulipotoka mahakamani watu tulipandwa na mori kidogo tukaandamane mpaka manispaa kumwondoa meya feki
Sehemu yoyote inaweza kuwa chanzo cha mabadiliko Arusha walisha choka siku nyingi alichokifanya Lema ni kuwapa ujasiri vijana na hilo amefanikiwa sana huwezi amini hata baada ya polisi kuua wakazi wa Arusha na kujeruhi lakini hata Leo hii watu wa Arusha ukiwaambia tuandamane sijui kama utamaliza saa hawajaaa na wakati mwingi huwa wana lazimisha kuandamana mfano ni siku mkutano wa CC ya Chadema walitaka kuandamana wakazuiwa...kifupi watu wa arusha wamechoka na CCM na subiri kwenye kampeni za kata nne zilizo wazi patachimbika ningependa sana nimuone Nepi Arusha
chadema tiyari imekata rufaa kwa ajili ya waziri aliyevunja katiba ya nchi