Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Poor PM Hon.MKPP!
Mkubwa huyu anadhalilika kwa mara nyingine tena kwa kuonekana mnafiki na mtu ambaye hayuko tayari kuona mabadiliko ya kiitikadi!
Hakika Arusha iko juu sana KIFIKRA kulinganisha na huyu MKPP.
Akumbuke ni Arusha hiihii iliyosema kuwa MKPP ni mwongo na na uwongo wake 10 ukawekwa hadharani!...na hakuthubutu kujibu tuhuma hizo, mpaka akaokolewa na Spika wa Bunge kwa kutupilia mbali hoja hiyo ndani ya mjengo.
Hao akina Mkuchika siwezi kuwaongelea, maana hao wanatumika!
maelezo ya hakimu:
- Mahakama imeangalia kujua kama chadema wana haki ya kushtakiwa au kushtakiwa
- Mahakama imeona kwamba chadema wakati inasajiliwa ilikuwa na katiba yake, ikiongozwa na board of trustees
- Hivyo kitendo cha madiwani kukishtaki chadema kama chama hakina msingi.
- Mahakama pia imeangalia kuwa Freemen Mbowe kesi aliyofunguliwa ni kama personal rather than public interests, Freemen Mbowe ni mwenyekiti wa chadema, hivyo alitakiwa kushtakiwa kama kiongozi wa chama siyo yeye kama yeye.